Anonymeous
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 275
- 484
Karma.Nimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.
Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi. Watu wanafurahi headline inayoanza na chochote kinachomuhusu Lissu.
Baadhi wanateseka sana kwa anachokifanya Kamanda. NINI SIRI YA KUNGAA KWA LISSU NA JINA LAKE?
Jibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.Nimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.
Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi...
Kuna mtu alisema huenda ni ka miziziology au ngekewa tuNimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.
Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi. Watu wanafurahi headline inayoanza na chochote kinachomuhusu Lissu.
Baadhi wanateseka sana kwa anachokifanya Kamanda. NINI SIRI YA KUNGAA KWA LISSU NA JINA LAKE?
Hehehheee thubutuJibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.
Huna shughuli maalumu ndiyo maana uko mitandaoni!Jibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.
Nyota njema hata shetani alimkataa siku ile sept 7Nimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.
Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi. Watu wanafurahi headline inayoanza na chochote kinachomuhusu Lissu.
Baadhi wanateseka sana kwa anachokifanya Kamanda. NINI SIRI YA KUNGAA KWA LISSU NA JINA LAKE?
Kule field tumewazidi wanasema aah wapi kujaza watu sio hoja kwansa hawana vitambulisho. Huku mtandaoni wanasema hatuna kazi maalum😅😅😅Huna shughuli maalumu ndiyo maana uko mitandaoni!
Fullstopkwa sababu anatetea HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU
Lissu amekuja kuwaondoa watanzania kwenye utawala wa ki-imla unaowatesa wanyonge ndio maana anapendwa sana.Nimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.
Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi. Watu wanafurahi headline inayoanza na chochote kinachomuhusu Lissu.
Baadhi wanateseka sana kwa anachokifanya Kamanda. NINI SIRI YA KUNGAA KWA LISSU NA JINA LAKE?
Anang'aa kwa kipi alichoifanyia Tanzania/au hata kwenye jimbo lake tu lamaana ni lipi alilofanya?Mtakoma mwaka huu. Anawanyosha na hamna cha kumfanya
Kwa kutetea haki dhidi ya wahuni wapole hakiAnang'aa kwa kipi alichoifanyia Tanzania/au hata kwenye jimbo lake tu lamaana ni lipi alilofanya?
You can not conquer a victor"Tundu is a Victor"- Mchungaji Mwingira.
Jibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.
Hata Lowassa alipanda daladala kuwafuata walipo watu wengi. Lakini haikusaidia