silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Mimi ni mmoja wapo nimepiga leo kutoka Asubuhi mpaka sasa hivi nahitaji msaada ili nijaze form hizo lakini cha kushangaza hawa wafanya kazi wamefunga sim na line inayo patikana ni moja tu kwanini?
kama hawataki wanafunzi waaply si waseme tu?
Hivi Wajameni watanzania tutaburuzwa kama mbango mpaka lini na kuhusu kujaza form mpaka watu waandamane ndiyo murekebishe tabia zenu chafu, hebu fanyeni kazi zenu kwa ufanisi bwana mumeomba kazi wenyewe hakuna aliye walazimisha.
Naongea na nyinyi Board ya Mikopo ya Elimu ya juu
kama hawataki wanafunzi waaply si waseme tu?
Hivi Wajameni watanzania tutaburuzwa kama mbango mpaka lini na kuhusu kujaza form mpaka watu waandamane ndiyo murekebishe tabia zenu chafu, hebu fanyeni kazi zenu kwa ufanisi bwana mumeomba kazi wenyewe hakuna aliye walazimisha.
Naongea na nyinyi Board ya Mikopo ya Elimu ya juu