Ina madhara makubwa kwa binadamu...inaathiri chembe nyeupe za damu na kusababisha agranulocytosis..mbadala wake kwa matumizi ya binadamu kwa case za minyoo ni albendazole au mebendazole...Ingawa kuna Claim kwamba zinasaidia sana kwenye matibabu ya kansa ya utumboHii si ilikuwa inahusishwa na kutibu/kusaidia wagonjwa wa Cancer?
Madawa yote yqnayohusishwa na matibabu ya cancer yamepigwa pini! Wenye nguvu wanajua sababu