Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Let see..
Nna swali MUHIMU. Linaeza kuonekana la kijinga..lakini hio haliondoi validity yake.
and the question is,,.
WHY DO WE CHOOSE COMPETITION OVER COLLABORATION?
Chukulia mfano wa uchaguzi unaokuja wa 2010. Kwanini watu wana-confine akili zao na resources kwenye ku-compete? Kwa 'hao' manguli wanaodhani wanahitaji kutuongoza kuelekea kwenye promise land, kaa ideas zao kweli ni pure, naive, zenye zeal ya kuendeleza nchi kiukweli, kwanini basi at least, hawasikizani wao kwa wao na kushirikiana? hata humo ndani kwenye 'magenge' yao wanayoita vyama vya siasa hawasikizani, how can we take them serious kwamba hawana ajenga nyingine zaidi ya zile wanazohubiri?
Mchango wako tafwadhaal.
Nna swali MUHIMU. Linaeza kuonekana la kijinga..lakini hio haliondoi validity yake.
and the question is,,.
WHY DO WE CHOOSE COMPETITION OVER COLLABORATION?
Chukulia mfano wa uchaguzi unaokuja wa 2010. Kwanini watu wana-confine akili zao na resources kwenye ku-compete? Kwa 'hao' manguli wanaodhani wanahitaji kutuongoza kuelekea kwenye promise land, kaa ideas zao kweli ni pure, naive, zenye zeal ya kuendeleza nchi kiukweli, kwanini basi at least, hawasikizani wao kwa wao na kushirikiana? hata humo ndani kwenye 'magenge' yao wanayoita vyama vya siasa hawasikizani, how can we take them serious kwamba hawana ajenga nyingine zaidi ya zile wanazohubiri?
Mchango wako tafwadhaal.