johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,948
Kwa mfano katika kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe kila siku tunaonyeshwa Mbowe na watuhumiwa wenzake wakisalimiana na Wakili Kibatala kisha tunaonyeshwa karandinga la magereza mwisho utasikia " mimi ni Godfrey Monyo wa ITV "
Kwanini Jaji au Hakimu huwa hawaonyeshwi kama wafanyavyo Kenya ambao kimsingi kila kitu kinakuwa wazi?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kwanini Jaji au Hakimu huwa hawaonyeshwi kama wafanyavyo Kenya ambao kimsingi kila kitu kinakuwa wazi?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!