BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,777
- 6,267
waungwana nauliza tu.katika sherehe nyingi mambo ya nyam nyam,
maakuli
ulaji
misosi
hua inawekwa mwisho,hivi ni kanuni,sheria,au utaratibu tu,na kwa nini ufanane,kwa nini chakula kisiwekwe mwanzo.
hebu tujuzane angalau kidogo wadau wa jamii forum.
maakuli
ulaji
misosi
hua inawekwa mwisho,hivi ni kanuni,sheria,au utaratibu tu,na kwa nini ufanane,kwa nini chakula kisiwekwe mwanzo.
hebu tujuzane angalau kidogo wadau wa jamii forum.