Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
Kulingana na mahojiano yanayoendelea live sasa hivi ITV kati ya Masako na Joshua Joel kutoka sumbawanga (Rukwa), kuna jambo nimelisikia ambalo limenitatiza sana. According to Joshua, matokeo hayajatangazwa kwa vile masanduku ya kura yamechelewa kuletwa kwenye kituo cha kuhesabia kura.
Hii business ya kuhamisha masanduku toka sehemu moja kwenda nyingine kabla ya hesabu haijafanyika (kama ndivyo ilivyotokea) inatia wasiwasi wa usalama wa matokeo hayo. Nilivyoelewa mimi, kura zinatakiwa kuhesabiwa vituoni na kila kitu kinamalizika hapo kabla ya "kuhamishwa" kwenda sehemu nyingine.
Ningependa kweli kujua kama kweli utaratibu umebadilishwa, na if yes, kwa nini kura zisihesabiwe moja kwa moja vituoni?
Hii business ya kuhamisha masanduku toka sehemu moja kwenda nyingine kabla ya hesabu haijafanyika (kama ndivyo ilivyotokea) inatia wasiwasi wa usalama wa matokeo hayo. Nilivyoelewa mimi, kura zinatakiwa kuhesabiwa vituoni na kila kitu kinamalizika hapo kabla ya "kuhamishwa" kwenda sehemu nyingine.
Ningependa kweli kujua kama kweli utaratibu umebadilishwa, na if yes, kwa nini kura zisihesabiwe moja kwa moja vituoni?