Kwanini kuna Watanzania wamechukia timu ya Taifa Lao kufuzu AFCON 2023?

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,498
37,792
Naomba msaada wa ufafanuzi toka Kwa Watanzania wenzangu. Tangu Jana majira ya saa 6:10 usiku kuna Watanzania wameanzisha nyuzi humu JF na mitandao mingine kuonyesha jinsi walivyo na kinyongo Kwa timu ya Taifa kutoa Sare na Algeria na hivyo kufuzu Fainali za AFCON.
NINI kiko nyuma ya chuki na makasiriko haya maana si kawaida Mtoto wa Mtu kufaulu mtihani halafu mzazi wake akanuna. Huwa nasikia kuna wazazi wanachukia watoto wao kufaulu pale wanapokuwa wamepanga kuwaozesha au kama ni wa kiume kuwatumia kuchunga mifugo. Lakini pia wazazi wengine huwa wanachukia sababu ya kuwa na uwezo mdogo kiuchumi.
Sasa hii Hali ya baadhi ya mashabiki àmbao hawachangii hata 100/= kugharamia timu kuchukia mafanikio ya timu ya Taifa Lao inatokana na Nini?
 
Naomba msaada wa ufafanuzi toka Kwa Watanzania wenzangu. Tangu Jana majira ya saa 6:10 usiku kuna Watanzania wameanzisha nyuzi humu JF na mitandao mingine kuonyesha jinsi walivyo na kinyongo Kwa timu ya Taifa kutoa Sare na Algeria na hivyo kufuzu Fainali za AFCON.
NINI kiko nyuma ya chuki na makasiriko haya maana si kawaida Mtoto wa Mtu kufaulu mtihani halafu mzazi wake akanuna. Huwa nasikia kuna wazazi wanachukia watoto wao kufaulu pale wanapokuwa wamepanga kuwaozesha au kama ni wa kiume kuwatumia kuchunga mifugo. Lakini pia wazazi wengine huwa wanachukia sababu ya kuwa na uwezo mdogo kiuchumi.
Sasa hii Hali ya baadhi ya mashabiki àmbao hawachangii hata 100/= kugharamia timu kuchukia mafanikio ya timu ya Taifa Lao inatokana na Nini?
Siyo watanzania,sema wanasimba
 
Kwa ufahamu wangu nitakupa hili jibu....

1. Watanzania hatupendi kuthamini jambo la kwetu, huwa tunapenda zaidi kwa majirani wengine.

2. Watanzania hatufahamu kwa umakini suala la mchezo wa soka, si kwa kucheza uwanjani bali hata aina ya uchambuzi yakinifu, kuupa kipaumbele.

3. Tasnia ya michezo hasa soka kwa nchi ya Tanzania imebebwa na siasa na u-team wa Simba na young Africans. Hivyo ni ngumu kuthamini soka letu.

4. Katika karne hii teknolojia imekuwa kwa kiwango Cha kuridhisha, hivyo baadhi ya wadau wa soka kuchukua timu yao kufuzu inawezekana ni wale wadau wanaoshiriki mchezo wa kamari ( betting ) kuambulia patupu katika michuano ya Jana. Mfano wengi wao waliua timu ya taifa stars kufungwa ugenini.
 
Kwa ufahamu wangu nitakupa hili jibu....

1. Watanzania hatupendi kuthamini jambo la kwetu, huwa tunapenda zaidi kwa majirani wengine.

2. Watanzania hatufahamu kwa umakini suala la mchezo wa soka, si kwa kucheza uwanjani bali hata aina ya uchambuzi yakinifu, kuupa kipaumbele.

3. Tasnia ya michezo hasa soka kwa nchi ya Tanzania imebebwa na siasa na u-team wa Simba na young Africans. Hivyo ni ngumu kuthamini soka letu.

4. Katika karne hii teknolojia imekuwa kwa kiwango Cha kuridhisha, hivyo baadhi ya wadau wa soka kuchukua timu yao kufuzu inawezekana ni wale wadau wanaoshiriki mchezo wa kamari ( betting ) kuambulia patupu katika michuano ya Jana. Mfano wengi wao waliua timu ya taifa stars kufungwa ugenini.
Upewe maua yako Mkuu, angalau umenipa mwanga.
 
Naomba msaada wa ufafanuzi toka Kwa Watanzania wenzangu. Tangu Jana majira ya saa 6:10 usiku kuna Watanzania wameanzisha nyuzi humu JF na mitandao mingine kuonyesha jinsi walivyo na kinyongo Kwa timu ya Taifa kutoa Sare na Algeria na hivyo kufuzu Fainali za AFCON.
NINI kiko nyuma ya chuki na makasiriko haya maana si kawaida Mtoto wa Mtu kufaulu mtihani halafu mzazi wake akanuna. Huwa nasikia kuna wazazi wanachukia watoto wao kufaulu pale wanapokuwa wamepanga kuwaozesha au kama ni wa kiume kuwatumia kuchunga mifugo. Lakini pia wazazi wengine huwa wanachukia sababu ya kuwa na uwezo mdogo kiuchumi.
Sasa hii Hali ya baadhi ya mashabiki àmbao hawachangii hata 100/= kugharamia timu kuchukia mafanikio ya timu ya Taifa Lao inatokana na Nini?
Wivu Kwa Dr.SSH ,kwamba Kwa nini haya yanatokea kwake?
 
Mimi naona wakati mwingine CAF waweke kipengele cha timu kufuzu kwa kigezo cha pointi nyingi kwenye kundi.

Maana ukiangalia kwenye kundi la Taifa Stars, unaona kabisa ni Algeria pekee ndiyo ilistahili kufuzu.
 
Back
Top Bottom