Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,678
- 40,931
Nguvu kubwa sana inatumika kufisha uvumi wa uwepo wa zoezi la uchapishaji wa noti mpya.
Sijui ni kwanini nguvu kubwa sana inatumika kupambana na uvumi tu.
Taratibu za kufanyika kwa zoezi hilo zinafamika, kama kweli lipo.
Kumekuwa na uvumi kuwa baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakificha fedha zao nje ya nchi, na wengine kuhamishia huko nje na kuoperate biashara zao toka nje.
Naona hapa kuna vumi mbili zinakinzana, kwa wanaokataa fedha mpya zichapishwe na kututosha kuwa tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Pili, na wale wanaosema kuwa kuna fedha zimefichwa na wafanyabiashara wakubwa.
Je, wanaokataa uchapishwaji wa fedha ni mpya ni wale waliozificha huko nje?? au kama hawajazificha ni sababu ipi kuu, inafanya nguvu kubwa sana itumike kufisha huo uvumi, maana bado ni uvumi tu. Wala sidhani kama ni kweli kuna noti mpya zinachapishwa.
Sijui ni kwanini nguvu kubwa sana inatumika kupambana na uvumi tu.
Taratibu za kufanyika kwa zoezi hilo zinafamika, kama kweli lipo.
Kumekuwa na uvumi kuwa baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakificha fedha zao nje ya nchi, na wengine kuhamishia huko nje na kuoperate biashara zao toka nje.
Naona hapa kuna vumi mbili zinakinzana, kwa wanaokataa fedha mpya zichapishwe na kututosha kuwa tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Pili, na wale wanaosema kuwa kuna fedha zimefichwa na wafanyabiashara wakubwa.
Je, wanaokataa uchapishwaji wa fedha ni mpya ni wale waliozificha huko nje?? au kama hawajazificha ni sababu ipi kuu, inafanya nguvu kubwa sana itumike kufisha huo uvumi, maana bado ni uvumi tu. Wala sidhani kama ni kweli kuna noti mpya zinachapishwa.