Wanaume wengi wa miaka hii tumekuwa
Wavivu
Wazembe
Wambea
Wapuuzi et al
We got change to fix this fuckn mess fellaz.
Inakuaje mwanamke azae na mwanaume asiejitambua??? Hapo kosa la nani??? Kwani alibakwa?Kweli kabisa mkuu wanaume wengi hutuniwa na ibilisi kuharibu future za wanawake wengi. Mwisho wa siku wanawake wanabaki na makovu mioyoni
Mama wa watoto. Pole sana kwa msaibu yote. Ombi langu ni moja tu.Nimemuacha. Wala simjibu tena. Kama kaniita mbwa hakawii kunishushia mitusi. Mimi kunguru mwoga acha niepushe shari bwana.
Twice.Ushawahi kuacha mwanamke?
Inakuaje mwanamke azae na mwanaume asiejitambua??? Hapo kosa la nani??? Kwani alibakwa?
South unaenda lini kumcheki yule mtoto ?Leo nimejua status za baadhibya watu humu baada ya kuona majadiliano ktk huu uzi...tuendelee kuijaza dunia jamani
Sasa inakuaje mwanamke azae na mwanaume kichaa??? Mbona hujibu hili swaliMwanaume vichaa ni wengi ni wale wanaokimbia majukumu na kulaumu wanawake wakati alipopewa kei alikuwa anajiliza
Kukubali mapungufu ni kibaji my dada. Si kila mmoja anaweza.Wewe ni mwanaume unayejielewa wengi hapa wametekeleza damu zao
Wanaume ni wagumu hawana utu. Nikitaka kuzaa nakuwa nimejiandaa kwa lolote maana wanaume siku hizi wameadimikaKukubali mapungufu ni kibaji my dada. Si kila mmoja anaweza.
Cariha nitakutafuta tuwe marafiki kama hutojali.Wanaume ni wagumu hawana utu. Nikitaka kuzaa nakuwa nimejiandaa kwa lolote maana wanaume siku hizi wameadimika
Sijisikii kubishana leo ila naona una fosii tubishane vipi wale wanaume ambao ana kuficha hana Familia kabisa, wewe tulia na mkeo pia ukimpa mimba mchepuko hudumia kelele zitatoka wapi wengi wenu humu mmekimbia damu nzenu. Mimi naomba tu nisipate mwanaume anipe mimba kisha anikimbe wallah namkodishia watu wamfanye kaoge kulipiza kisasi ipo 🤣🤣🤣🤣🤣Kwani ww huwezi kuchukua hatua hiyo ya kumkatalia? Kwa hiyo kila mume wa mtu anaye kutongoza una mkubali na kumtanulia miguu? Alafu baadaye unapewa mimba unasema hakujali, lkn what if kama wewe ungeharibu ndoa ya huyo mwanaume, huoni utakuwa umathiri malezi ya watoto wake, alafu kesho una lalamika hakujali ww na mtoto, wako wakati ww mwenyewe ulitaka kufanya hicho hicho cha kumtenganisha na watoto wake.
Hivyo vichwa vyenu vitumieni heshimuni ndoa na familia za wanawake wenzenu, sio mnapewa mimba mnaanza kulialia.
Cariha nitakutafuta tuwe marafiki kama hutojali.
Tunakimbia extortion ka ya mobeto ya kutaka Mond atoe M5 kwa mwezi kwa mimba ya kutega utafikiri mtoto anakula dhahabu.Umenijibu vizuri usikimbie majukumu ya kulea.
My dada usiumize kichwa.Sijisikii kubishana leo ila naona una fosii tubishane vipi wale wanaume ambao ana kuficha hana Familia kabisa, wewe tulia na mkeo pia ukimpa mimba mchepuko hudumia kelele zitatoka wapi wengi wenu humu mmekimbia damu nzenu. Mimi naomba tu nisipate mwanaume anipe mimba kisha anikimbe wallah namkodishia watu wamfanye kaoge kulipiza kisasi ipo 🤣🤣🤣🤣🤣
ShukraniOkay no problem
Halafu huyo akipewa mimba na mume wa mtu, lawama zote kwa mwanaume wakati alikuwa anajua kabisa anadate na mume wa mtuKwani ww huwezi kuchukua hatua hiyo ya kumkatalia? Kwa hiyo kila mume wa mtu anaye kutongoza una mkubali na kumtanulia miguu? Alafu baadaye unapewa mimba unasema hakujali, lkn what if kama wewe ungeharibu ndoa ya huyo mwanaume, huoni utakuwa umathiri malezi ya watoto wake, alafu kesho una lalamika hakujali ww na mtoto, wako wakati ww mwenyewe ulitaka kufanya hicho hicho cha kumtenganisha na watoto wake na kumfanya mke wake nae angukie katika kundi hili la single mother.
Hivyo vichwa vyenu vitumieni vizuri, heshimuni ndoa na familia za wanawake wenzenu, sio mnapewa mimba mnaanza kulialia.
Kwa hiyo wewe kufanya ngono hali ya kuwa ni mume wa mtu Kwako sio kosa haya ni maajabu kwa kweli, Tulieni na wake nzenu nyinyi ndio mnawaletea wanawake maradhi yasiyo tibika ndaniHalafu huyo akipewa mimba na mume wa mtu, lawama zote kwa mwanaume wakati alikuwa anajua kabisa anadate na mume wa mtu
Kuna viumbe wana shangaza eti mimi mume wa mtu bila nidhamu kwa Ndoa yako si bora wasinge kuwa na Ndoa.My dada usiumize kichwa.
Just chillax, maisha haya ni mafupi kubishana na watu ovyo ovyo.
Hiyo ni style mpya tu ya maishaWakuu, nimekuwa nikifatilia swala hili la kina dada wengi kulea watoto wao huku baba za watoto wakiwa hawajulikani ama hata hawashiriki katika malezi ya hao watoto.
Zamani ilikuwa pengine hata ni aibu kwa binti kujifungua nje ya ndoa na ilikuwa ni fedheha kwa familia yake ajabu leo wako wengi sana tena wengine ni wazuri saana warembo wenye sifa zote za kuwa wake, lakini hawajaolewa na wana watoto hili jambo limechangiwa na nini hasa??
Mimi nimewazungumzia wale wanaojua kabisa wanatembea na waume za watu, hao wengine sijui.Sijisikii kubishana leo ila naona una fosii tubishane vipi wale wanaume ambao ana kuficha hana Familia kabisa, wewe tulia na mkeo pia ukimpa mimba mchepuko hudumia kelele zitatoka wapi wengi wenu humu mmekimbia damu nzenu. Mimi naomba tu nisipate mwanaume anipe mimba kisha anikimbe wallah namkodishia watu wamfanye kaoge kulipiza kisasi ipo 🤣🤣🤣🤣🤣