Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,503
- 7,107
Habari za shughuli, kinywaji hiki kinauza sana hapa Tanzania. Lakini mbona katika Soko la hisa hakionekaniki kama wanafanya biashara yenye faida au ndio tabia yetu kufanya biashara bila rekodi au wanafanya hivyo kukwepa kodi. Maana ukipita kila kona kumejaa viroba.
Biashara hiyo ipo kila kona ya mtaa lakini kama kampuni haipo.
Naomba mchangie kwa lugha nzuri
Biashara hiyo ipo kila kona ya mtaa lakini kama kampuni haipo.
Naomba mchangie kwa lugha nzuri