Ndugu yangu, wengi wetu hatujielewi. Mtu ana passport imegongwa muhuri wa kenya tu wala hakuna hata Mauritius au Morocco japo, unadhani atajipatia ujiko kwa kujionyesha ametembea kwa nchi gani? Ni kutokujithamini na kutofahamu kuwa hapa kwetu tumewahudumia hao wakenya, waganda, wazambia, malawi, mozambique, Zaire, Burundi, Rwanda , Angola na South Africa. Ndiyo maana huwa sielewi mtu anukuwa inferior kisa kamuona msouth au mkenya ambaye nchi yake ulijengwa na wazungu na sasa inagawanyika wakati sisi watanganyika tunaijenga wenyewe kwa mikono yetu bila shida. Taraibu tutafika wao ndiyo wamejaa hapa kutwa kucha kung'ang'ania madada zetu ili wapate uraia. Yani ningekuwa mwana$mke wa kitanzania mimi, wangenikoma!kumekuwa na kawida watu wengi hata viongozi kila wana chosema wanafananisha na kenya,je hakuna nchi nyingine ya kutolea mfano? pili sisi hatuna vitu ambavyo wakenya wanaweza kujifunza kutoka kwetu?
Watanzania wengi wana akili za kuazima,ni mpaka hapo watakapoanza kutumia akili zao ndio watakapojitambaua.
nadhani ni kwa sababu ya jinsi hawa jamaa wanavyotuangalia sisi. Hebu chukulia hii scanario ya karibuni alafu ujipe jibu!kumekuwa na kawida watu wengi hata viongozi kila wana chosema wanafananisha na kenya,je hakuna nchi nyingine ya kutolea mfano? pili sisi hatuna vitu ambavyo wakenya wanaweza kujifunza kutoka kwetu?
Tunatolea mfano wa Kenya kwa sababu ni nchi iliyo karibu na sisi na ni rahissi kwa mtanzania kufika au kujua taarifa zake.Kenya ni nchi jirani ambayo licha ya kuwa na mazingira kama ya kwetu kwa kiasi fulani bado wamepiga hatua kuliko sisi.Ni nchi jirani inayotuzidi kiuchumi licha ya sisi kuwa na utajiri wa maliasili kuliko wao.Huwezi kutolea mfano nchi za mbali wakati mfano wa karibu na unaoeleweka upo.Wana Mombasa,tuna Dar lakini bado tunajikongoja.Wana Lamu,tuna Tanga,wenzetu wanajenga bandari kubwa huko sisi Tanga imebaki porojo na makabrasha makabatini.china ana historia ndefu na sisi kuliko Kenya lakini kampuni zao zote zinaweka makao makuu yao Nairobi na kuingia mikataba mikubwa na serikali ya Kenya...Wenzetu kwa ushapu wao wanapata mega deals kutoka world bank na ADB kuendeleza miundo mbinu yao.Angalia Highway ya Thika wanayoitambia ni juhudi za ushapu wao huku sisi miradi yetu mikubwa kama hilo daraja la Kigamboni ikichukua miongo mitatu,reli ya Dar-Kigali haisikiki tena...ni mambo mengi sana ambayo tulifaa tuwe mbele yao lakini ndio hivyo tunabaki kuwaita nyang'au zaidi ya hapo hatuna usemi.
kumekuwa na kawida watu wengi hata viongozi kila wana chosema wanafananisha na kenya,je hakuna nchi nyingine ya kutolea mfano? pili sisi hatuna vitu ambavyo wakenya wanaweza kujifunza kutoka kwetu?
well said ! I luv u !
Hili la Watanzania wengi wana akili za kuazima halijakaa vizuri. Unaposema wengi unamaanisha "Majority" ie. Zaidi ya 50% ya Watanzania wanatumia akili za kuazima. Sikubaliani na wewe. Ukisema baadhi ya Watanzania ni sawa.