rwanda ni nchi ndogo sana hivyo ni rahisi kui control hapo ndipo walipopatia hakuna muujiza hapo
rwanda ni nchi ndogo sana hivyo ni rahisi kui control hapo ndipo walipopatia hakuna muujiza hapo
rwanda ni nchi ndogo sana hivyo ni rahisi kui control hapo ndipo walipopatia hakuna muujiza hapo
hii sio sababu try to think big...!
RAIS MWENYE KUWAJIBIKA NA ASIYE NA MIZAHA udogo wa nchi sio kigezo cha eti ni rahisi kuikontrol vipo vinchi vidogo zaidi ya #rwanda na ni vya kipumbavu na hovyo kwelikweli/the way kagame leads the country matter.
rwanda ni nchi ndogo sana hivyo ni rahisi kui control hapo ndipo walipopatia hakuna muujiza hapo
Mana ake unataka kuniambia kuwa kuna uhusiano kati ya jambo zuri kama la kutokuwepo kwa rushwa na ukubwa wa nchi? Embu thibitsha usemi wako!
Mbona vijiji vyetu ni vidogo, vina Afisa mtendaji, Mwenyekiti wa kijiji, wenyeviti wa vitongoji lakini vina waganga wanaoelekeza albino auwawe?. Swala ni uongozi imara tu
Point yako haijashiba! kwanini Taifa kubwa kama Marekani uchumi wao upo juu wakati lile ni taifa kubwa?
hivi hivyo vijiji utaingia na visa ??
hapo mgeni unaingia unafanya mauaji unaondoka ndio kinachotokea
marekani wameanza kujitegemea lini kama taifa ??
Hivi unajua nchi karibu zote za ulaya ni kama mkoa tu hapa Tanzania ndio maana wameweza kuendelea haraka nchi kama ubeligiji ina watu milioni nane kama ingekua Tanzania watu milioni ningeweza kuwakumbuka hata robo tatu ya wakazi wa nchi nzima
asilimia kubwa ya nchi zenye eneo kubwa ni masikini hutaki unakuja na fact sio ubishani