Unaweza kuta majina yanachangia hebu tushauri na sisi tuwe tunapanda yapi tuepukane na balaa hili
..Kuna Mawazo, Havintishi, Sikujuwa,Hatakiwi etcHata watoto wetu tusiwape majina kama vile Shida, Matatizo n.k.
Kama ni imani za kishirikina hili liko dhahiri na wazi kabisa.
Kila ajali inayohusisha mabasi ya mohamed, utasikia tairi lilipasuka.
Kila mwaka wanauwa watu wengi mno ambao wamefanya kosa kubwa moja la kuiamini mohamed trans na kuwalipa nauli ili wafike kwao.
Jamani hawa mohamed hawajifunzi kutokana na makosa, kwanini wasitafute matairi imara na madhubuti ambayo wasafirishaji wengine wamekuwa wakiyatumia?
kama kweli ni ushirikiana waambie watafute matairi ya chuma,alafu utasikia nayo yamepasuka ndio utaujua ukweli,kwani ni ajali ngapi zinahusisha kupasuka tairi,au ndio kujisaidia ajisaidie kuku,akijisaidia bata kaendesha?Kama ni imani za kishirikina hili liko dhahiri na wazi kabisa.
Kila ajali inayohusisha mabasi ya mohamed, utasikia tairi lilipasuka.
Kila mwaka wanauwa watu wengi mno ambao wamefanya kosa kubwa moja la kuiamini mohamed trans na kuwalipa nauli ili wafike kwao.
Jamani hawa mohamed hawajifunzi kutokana na makosa, kwanini wasitafute matairi imara na madhubuti ambayo wasafirishaji wengine wamekuwa wakiyatumia?
wewe kama ni wa ajali ni wa ajali tuu,hata usiposafiri unaweza dondokewa na ukuta na ahadi ikatimia,kwani ni abiria wangapi wameshasafiri na mabasi ya kampuni hii pasipo pata ajali,au unataka kusema kila siku yanaajalika?ulipokata tiketi hukujua kuwa ni mohamed trans ndio ulilokata?Do sijui watakubali nirudishe tiketi yao kwani nimekata kusafiri kesho na hilo limeniogofya
Kama ni imani za kishirikina hili liko dhahiri na wazi kabisa.
Kila ajali inayohusisha mabasi ya mohamed, utasikia tairi lilipasuka.
Kila mwaka wanauwa watu wengi mno ambao wamefanya kosa kubwa moja la kuiamini mohamed trans na kuwalipa nauli ili wafike kwao.
Jamani hawa mohamed hawajifunzi kutokana na makosa, kwanini wasitafute matairi imara na madhubuti ambayo wasafirishaji wengine wamekuwa wakiyatumia?
siri hiyo wanaijua wenyewe...Kama ni imani za kishirikina hili liko dhahiri na wazi kabisa.
Kila ajali inayohusisha mabasi ya mohamed, utasikia tairi lilipasuka.
Kila mwaka wanauwa watu wengi mno ambao wamefanya kosa kubwa moja la kuiamini mohamed trans na kuwalipa nauli ili wafike kwao.
Jamani hawa mohamed hawajifunzi kutokana na makosa, kwanini wasitafute matairi imara na madhubuti ambayo wasafirishaji wengine wamekuwa wakiyatumia?