Majibu ya hivi tumeyazoea, hata wabunge wa CCM wako kama wewe.
na sisi tumezoea uzushi mnaoleta humu tangu juzi
Majibu ya hivi tumeyazoea, hata wabunge wa CCM wako kama wewe.
na anayeshabikia sacoss ya wagombania vyeo na madaraka ana
masilai nao.
Watanzania na Dunia nzima ilikuwa ikifuatilia kwa karibu saana mchakato wa kumpata mgombea urais kwa tiketi ya CCM, hali hii imekuwa tofauti kabisa na michakato ya CDM, NCCR,NLD na CUF na hatimaye UKAWA. Bila shaka Watanzania kwa ujumla wao wameulinganisha michakato ya UKAWA kuwa ni sawa na Vikao vya Kamati za HARUSI tu, kwani watu wenyewe wachaaache, tena hata kamera za Wandishi wa habari kutoka Mataifa makubwa Duniani kama ilivyotokea kwa CCM hawapo kwenye Mchakato wa UKAWA. Je kuna haja gani kwa mtu mwenye busara na hekima kuamini kuwa kuna vyama vya upinzani vyenye nguvu Tanzania? au kuna vyama vya kutafutia Ruzuku na umaarufu kama wanavyofanya akina Sugu, Lisu, Mbowe, Mnyika, Wenje n.k ?
Watanzania na Dunia nzima ilikuwa ikifuatilia kwa karibu saana mchakato wa kumpata mgombea urais kwa tiketi ya CCM, hali hii imekuwa tofauti kabisa na michakato ya CDM, NCCR,NLD na CUF na hatimaye UKAWA. Bila shaka Watanzania kwa ujumla wao wameulinganisha michakato ya UKAWA kuwa ni sawa na Vikao vya Kamati za HARUSI tu, kwani watu wenyewe wachaaache, tena hata kamera za Wandishi wa habari kutoka Mataifa makubwa Duniani kama ilivyotokea kwa CCM hawapo kwenye Mchakato wa UKAWA. Je kuna haja gani kwa mtu mwenye busara na hekima kuamini kuwa kuna vyama vya upinzani vyenye nguvu Tanzania? au kuna vyama vya kutafutia Ruzuku na umaarufu kama wanavyofanya akina Sugu, Lisu, Mbowe, Mnyika, Wenje n.k ?
yaani hii nchi cjui nani kailoga na watu wake
yaani tumesha sahau
escrow
epa
richmond
kagoda
buzwagi
meremeta
tembo kuuawa
twiga kupanda ndege
misamaha ya madini
miswada ya hovyo ya gesi na mafuta
kupandishwa hovyo bei ya mafuta
watoto kukaa chini
akina mama kuzalia chini
matajiri kuthaminiwa
ubovu wa barabara
ubovu wa relli
uhaba wa maji safi na salama
kuuzwa benki ya taifa
kuuzwa kwa shirika la ndege
kuuzwa kwa nyumba za taifa
kiwira coal mine
ukosefu wa dawa hospitali za umma
kushuka kwa elimu
migomo ya waalimu na madaktari
migomo ya wanafunzi
migogoro ya ardhi kutokana na serikali
kuwathamini wawekezaji wa kigeni
kuhodhi viwanja vya michezo
kuhodhi majjengo ya umma
kulinda wezi, mafisadi na wahujumu uchumi
kuua viwanda alivyo vijenga mwalimu
nyerere
kuua mashirika ya umma
kuongeza matabaka kwa wananchi
kuua wanaharakati na waandishi wa habari
( mwangosi)
kupitisha rasimu isio ya muafaka
iliyo
feki
hivyo basi,
nashangazwa na watu waelewa humu wanaosema
magufuli jembe
wakati yupo serikalini tangu 1995
ndani ya ccm
nani ametuloga ??
Hapa magufuli ni pombe ile ile kwenye chupa
mpya.
Maskini tz
au elimu ya uraia tatizo ???
Watanzania na Dunia nzima ilikuwa ikifuatilia kwa karibu saana mchakato wa kumpata mgombea urais kwa tiketi ya CCM, hali hii imekuwa tofauti kabisa na michakato ya CDM, NCCR,NLD na CUF na hatimaye UKAWA. Bila shaka Watanzania kwa ujumla wao wameulinganisha michakato ya UKAWA kuwa ni sawa na Vikao vya Kamati za HARUSI tu, kwani watu wenyewe wachaaache, tena hata kamera za Wandishi wa habari kutoka Mataifa makubwa Duniani kama ilivyotokea kwa CCM hawapo kwenye Mchakato wa UKAWA. Je kuna haja gani kwa mtu mwenye busara na hekima kuamini kuwa kuna vyama vya upinzani vyenye nguvu Tanzania? au kuna vyama vya kutafutia Ruzuku na umaarufu kama wanavyofanya akina Sugu, Lisu, Mbowe, Mnyika, Wenje n.k ?
Kwani UKAWA ni chama?
Kwahiyo wewe ulitaka msisimko wa Mkutano wa UKAWA ili ufanye ngono na changudoa wako.. kukusisimua ameshindwa mpaka usisimke na mkutano wa UKAWA? Hebu mwongeze dau aifanye kazi vyema...!!!!
BACK TANGANYIKA