Kwanini Kenya hatuna msimamo kama wenzetu wa Bongo?

Bensoy

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
577
619
Nafanya utafiti hapa.

Tz walishawahi kuamua kuchoma vifaranga kutoka Kenya. Japo Wakenya walipiga kelele lakin haikusaidia. Pia ishu ya ngo'mbe ilikua the same. Kuna maziwa na juzi juz ishu ya kuzuia shirika lao la ndege. Japo sirikali ya kenya ilipiga kelele lakini bado msimamo wa bongo ulikua ule ule.

Sasa nauliza wwnzetu na ukubwa wa uchumi wao wa kwenye makaratasi mbona hawanaga msimamo?

Hili la mahindi wamebana wameachia wenyewe, walikamata watu wetu wa boda boda wiki moja wameachia, walizuia wa Bongo wasiende kwao wakaachia na mengi mengineyo.

Kwa nini kenya hatuna msimamo kama wenzetu wa Bongo?

Au ndo zile tunasema akili za kishikiwa. Great national lina kila aina ya majigambo na majivuno mnafeli wapi?
 
Kenya does not fight pigs in the mud, inawapapasa ili iendelee kuwatafuna, a cunning and smart diplomacy over idiotic "patriotism" that defines Tanzania's stance. Kenya's perspective is the bigger picture, Tanzania's perspective is short-lived blind patriotism with minimal economic impact.

We are in a world where brains flourish over chest thumping. The reason the most successful people on earth nowadays may appear to have small and weak bodies but sharp brains. Tanzania will forever remain below Kenya.

Poor diplomacy and weak economic policies wrapped in propaganda to hoodwink masikini wa kutupwa kama wewe is the definition of your govt, laana ya Tanzania. CCM is a scam.
 
Hiyo misimamo yenu msiyoshirikisha ubongo ndio inasababisha mjikute mnatutetegemea hata kwenye huduma za hospitali na kuacha majengo ya Muhimbili. Siku zote ukiwa na msimamo wowote, lazima uambatanishe na matumizi ya ubongo na kusklizia wenzako wanasema nini, ulimwengu unasema nini, wataalam wanasema nini, sio kila kitu unakaidi na kushupaza shingo.

Kenya leo hii inaongoza ukanda huu kiuchumi, kijeshi, kielimu, miundo mbinu na kila kitu kwa sababu tunaheshimu wataalam wetu na kuwapa kipaombele kila wanaposhauri.
 
Watu smart kichwani huwa wanaangalia maslahi ya muda mrefu zaidi badala ya mbwembwe na majivuno.

Iangalie Korea ya Kaskazini na Kusini. Kusini wao waliamua kujichanganya na ulimwengu mkubwa, Kaskazini wakaamua kujifungia na misimamo yao. Mwaka 1945 zote zilikuwa ni nchi moja, mwaka 2021 Korea Kaskazini bado wanaomba misaada ya chakula na Raia wanaikimbia nchi yao.
 
Hiyo misimamo yenu msiyoshirikisha ubongo ndio inasababisha mjikute mnatutetegemea hata kwenye huduma za hospitali na kuacha majengo ya Muhimbili. Siku zote ukiwa na msimamo wowote, lazima uambatanishe na matumizi ya ubongo na kusklizia wenzako wanasema nini, ulimwengu unasema nini, wataalam wanasema nini, sio kila kitu unakaidi na kushupaza shingo.

Kenya leo hii inaongoza ukanda huu kiuchumi, kijeshi, kielimu, miundo mbinu na kila kitu kwa sababu tunaheshimu wataalam wetu na kuwapa kipaombele kila wanaposhauri.
Well put, but wengi humu wako na fikra finyu, hawataelewa ulicho andika. Sometimes I listen to what their leaders say kwa news zao nashangaa! kwani akili wameziacha wapi, ni kweli huwa wanakosa kushirikisha ubongo in their decisions, they reason kama hawa wa hapa jamii forums, ama hawa tuna debate nao humu ni viongozi wa Tanzania wame bana identity?, am starting to believe wako hapa.
 
Watu smart kichwani huwa wanaangalia maslahi ya muda mrefu zaidi badala ya mbwembwe na majivuno.

Iangalie Korea ya Kaskazini na Kusini. Kusini wao waliamua kujichanganya na ulimwengu mkubwa, Kaskazini wakaamua kujifungia na misimamo yao. Mwaka 1945 zote zilikuwa ni nchi moja, mwaka 2021 Korea Kaskazini bado wanaomba misaada ya chakula na Raia wanaikimbia nchi yao.
Very true.

Ndio maana mimi huipenda Kenya. Ukiangalia majirani wetu wote ni watu wa kujifanya wababe. Tanzania, Uganda, S. Sudan, Ethiopia na Somalia. Tanzania wanatuita vibaraka wa wazungu huku wakijiona super power East Africa eti bila wao tutakufa njaa, Uganda wanajiona kuwa na Jeshi lenye nguvu zaidi Afrika mashariki na Ethiopia vile vile.

Somalia na umaskini wao wote wanajiita the Lions of Africa na S. Sudan nao wana kiburi cha Farao hadi wakiishi nchi za watu bado kiburi wanacho. Kenyans are the diplomacy softies in this region.

Kukiwa na mgogoro, wao ndio huonekana wamenyenyekea na kutolewa mitusi. Cha kushangaza, biashara kati ya hizi nchi zote na Kenya inafavor Kenya na licha ya Kenya kuwa na rasilimali chache zaidi kwa hawa majirani wetu wote, tuna uchumi mkubwa zaidi ya wao wote. The secret is in using your head instead of your chest.
 
Very true.
Ndio maana mimi huipenda Kenya. Ukiangalia majirani wetu wote ni watu wa kujifanya wababe. Tanzania, Uganda, S. Sudan, Ethiopia na Somalia. Tanzania wanatuita vibaraka wa wazungu huku wakijiona super power East Africa eti bila wao tutakufa njaa, Uganda wanajiona kuwa na Jeshi lenye nguvu zaidi Afrika magharibi na Ethiopia vile vile. Somalia na umaskini wao wote wanajiita the Lions of Africa na S. Sudan nao wana kiburi cha Farao hadi wakiishi nchi za watu bado kiburi wanacho. Kenyans are the diplomacy softies in this region. Kukiwa na mgogoro, wao ndio huonekana wamenyenyekea na kutolewa mitusi. Cha kushangaza, biashara kati ya hizi nchi zote na Kenya inafavor Kenya na licha ya Kenya kuwa na rasilimali chache zaidi kwa hawa majirani wetu wote, tuna uchumi mkubwa zaidi ya wao wote. The secret is in using your head instead of your chest.
Vipi leo ata waachilia au ata reinstate curfew? Na vile maambukizi saiv yameanza ku skyrocket wakati anaanza kufukuzia loan ya chanjo..hehe na yule mganga bazenga amepima ako positive...

Uhunye cheza kama wewe...fungia hizi ng'ombe hadi September.
 
Acha uzwazwa toa hoja. Ukijidai huwaelew viongoz wa tz hata watanzania wengine wanasema hivyo kuwa hawawaelewi viongoz wakenya. Toa point kama wenzako acha kudandia mada
Hauna lolote to reason with anyone, empty brain. Just move on in peace.
 
Watu smart kichwani huwa wanaangalia maslahi ya muda mrefu zaidi badala ya mbwembwe na majivuno.

Iangalie Korea ya Kaskazini na Kusini. Kusini wao waliamua kujichanganya na ulimwengu mkubwa, Kaskazini wakaamua kujifungia na misimamo yao. Mwaka 1945 zote zilikuwa ni nchi moja, mwaka 2021 Korea Kaskazini bado wanaomba misaada ya chakula na Raia wanaikimbia nchi yao.
Unafikiri Korea Kusini na wao wameathirika na ukabila? Ha ha ha, hakuna wakikuyu au wakale kule. Endelea kujifananisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom