Kwanini kahawa haiwekwi sukari?

Kwanini kahawa haiwekwi sukari?

...kahawa inawekwa sukari' labda ghahawa ndiyo haiwekwi sukari, unakunywa na kashata!
 
Namimi Naomba Kuongezea Hapo Hivi Kwanini Kikombe Cha Kahawa Hakina Mshikio?(mkono)
 
Namimi Naomba Kuongezea Hapo Hivi Kwanini Kikombe Cha Kahawa Hakina Mshikio?(mkono)

Namimi naomba kuongezea hapo hivi kwanini kikombe cha kahawa hawaweki vikombe vikubwa ili mnywaji apige kimoja tu
 
Namimi naomba kuongezea hapo hivi kwanini kikombe cha kahawa hawaweki vikombe vikubwa ili mnywaji apige kimoja tu

ni kama ka culture fulan kahawa inanywewa kwenye kakombe kadogo kasiko na mshikio pili ile ni biashara huwez kumwambia akumiminie kombe kuuubwa ukitaka hivo nunua yako kanywee nyumbani unga na sukari kunywa yote.
 
Na Mm Naongezea Kwann Ukinywa Kahawa Meno Yanakuwa Njano Halafu Mtu Anaongea Sana Kama Kala Kaa La Moto?
 
Back
Top Bottom