mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,617
- 4,908
Mtanzania amchukie Kagame kwa lipi, wanaomchukia Kagame ni wanyarwanda waliopo Uganda, Kenya, na hapa Tanzania ambao ni members wa JF. Nasema kwa uhakika, wanyarwanda wengi waliopo Kenya wanamchukia sana Kagame and wish him dead kwa jinsi alivyoua watu kwenye genocide back in 1994.