Kwanini JWTZ walihusika??

Kwanini JWTZ walihusika??

hakuna muislam alotaka kufika ikulu kuchukua nchi,,,,wewe mwenye elim pia haijakusaidia,waislam walisema wanataka ikulu???kwana ni mara ya kwanza kwa watanzania wa nchi hii kuandamana kwenda ikulu????
Kumbe hata matukio yanayotokea nchi hii huyajui MBWIGA WEWE
Sasa Bajabiri kwani unataka kusema hawakuwa wanataka kwenda Ikulu??Je kule walikuwa wanamfaata nani??kwakuwa Rais hakuwepo,Waziri Mkuu hakuwepo je ninani walikuwa wanamfaata??
 
Last edited by a moderator:
JWTZ ndio wenye nchi ! Amani inapo-potea lazima waingie kazini! KUVUKILAND IS VERY FAR . . OR . . CLOSE?
Tafadhali! wenye nchi ni Watanzania. Majeshi hayo tumeyapa majukumu ya kutulinda(Katiba). JWTZ lina mandate yake ukiona limeingilia kazi ya polisi inamaana polisi wameonekana dhaifu (kama unavyojua hawachukui hatua yoyote kwa wahalifu/wahujumu nchi).
 
Ishara ya nchi yenye weakest top leadership/ administration!!!!!!!!!!!!
 
Usinishike, afande usinishike, mbona alishkwa hadi naniliiu? (MIKONO) Ujinga mwingne bwana! Natamani angekabidhiwa kwa Wajeda, akaonyeshwe kazi akitoka huko ANAOKOKA.
 
Juzi tulishuhudi Magari ya Kijeshi yakiwa yamebeba wanajeshi yakirandaranda mtaani kwa nia ya kudhibiti vurugu za waislamu!Lakini swali nikwamba Jeshi la polise limeanza kuingiwa baridi na kuomba Manpower??Maana Kamanda kova aliuliswa na BBC kuhusu jeshi kuhusika kudhibiti vurugu akakana kwa kusema hajui kama na wao walikuwa kwenye hiyo operation ila yeye anasemea upande wapolisi!!!
Mimi nauliza je tumefikia hapo??Inamaana uwezo wa polisi wamefikia hapo!?
waliandika kwenye Vitabu Vitakatifua kuwa "haya yakishajiri basi na mwenye macho na aone".
Watu wengi hapo kwenye red wanaelewa kuwa Jeshi la Polisi limepotea njia lakini hata pale yalipotokea matukio madogo ambayo wangeliyashughulikia kikamilifu mfano mdogo suala la Dr. Ulimboka ingerudisha imani kwa watu wadogo kama sisi bado polisi 'waliharibu' kwa kuuda tume isiyojulikana iliishia wapi!!! Bali kuendelelea kuwafuatilia watu wadogo tu na wasio na maana kuwanyamazisha.
Sasa wazee wa JWTZ nao wanajua hayo na ndio wakaamua kingilia bila hata kuwapa taarifa ili kuokoa jahazi.
Niambie wale maustaadh walivyokuwa wamejipanga wasingeliona yale magwanda yenye 'rangi mbaya' historia ya nchi sasa si ingelikuwa imeandikwa tofauti!??

 
Kwa sababu matendo ya waislamu ni matokeo na msukumo wa viongozi wa kiislamu ambao wapo kwenye vyhombo nyeti ukianzia na said mwema, suleiman kova na kikwete na labda mwamunyange alioona wakristo wenzake wanadhuriwa bila hatua stahiki kuchukuliwa basi akaamua vikosi vyake vikafanye kazi ya ziada...binafsi nilishangaa sana hasa ktk tukio la mbagala ni kwa vipi polisi walishindwa kuua hata waislamu 100 pamoja na kufanya maasi na uharibifu wa kutisha dhidi ya wakristo
 
Afadhali hao JESHI KUBWA walitoka ................ manake mh! watu wengine wakiamua ............ WANAVUNJA VIOO VYA MAGARI YOYOTE BARABARANI ............... KUCHOMA MAKANISA .............. ila KIUKWELI - AFADHALI JESHI LIWEPO MTAANI - ILI HAWA JAMAA WAKONA ZILE UNIFORM WASIPANDWE NA MAJINI YA KUVUNJA MALI ZA WATU
NAONA HAWAOGOPI UNIFORM ZA BROWN COLOUR WANAOGOPA KIJANI KIJANI HIVI :hail::hail::hail:
 
hayo ni maneno tu-nyie siyo bora kuliko majeshi yalikwishwa shindwa dhidi ya umma-tazama misri, tunuisia na kwingineko. Utakayemshughulikia ni ndugu yako-mama, baba, kama, dada, mjomba shangazi hata mwamano na mkeo baadaye utaona faida ya kuklinda serikali dhalmu kwa watu wake
 
ni matokeo ya mtakatifu nyerere-tangu lini kiongozi wa serikali kufanya mtakatifu kama hakuwa mtumishi wa kanisa kudhulum haki za waisla tanazanai?
 
Juzi tulishuhudi Magari ya Kijeshi yakiwa yamebeba wanajeshi yakirandaranda mtaani kwa nia ya kudhibiti vurugu za waislamu!Lakini swali nikwamba Jeshi la polise limeanza kuingiwa baridi na kuomba Manpower??Maana Kamanda kova aliuliswa na BBC kuhusu jeshi kuhusika kudhibiti vurugu akakana kwa kusema hajui kama na wao walikuwa kwenye hiyo operation ila yeye anasemea upande wapolisi!!!
Mimi nauliza je tumefikia hapo??Inamaana uwezo wa polisi wamefikia hapo!?[/QUOTE]

Jeshi letu la Polisi are much more professional kwa kubambikia watu kesi, extra judicial killings na kuikandamiza Chadema kwa bahati mbaya hawana kubwa la kujisifia katika jukumu lao la msingi: Kulinda wananchi na mali zao.
 
Askari wa sasa wanavitambi utafikiri mimba za miezi nane, kule Uganda washapigwa mkwara, ni upuuzi hata hivyo ukiwa mwanadini unaandamana kwenda Ikulu bila kibali ni kutokujua mipaka yako. Raisi wa nchi anatakiwa alindwe kwa gharama yeyote hata ikibidi watu kupoteza uhai wao sasa itakuwa wewe unayejipeleka peleka ikulu kama mbwa jike aliye katika siku zake...Lazima ufanywe kitu mbaya na hataulizwa mtu, hata hivyo jamaa nadhani walikuwa waungwana sana walijua kuwa kuna watu wanahitaji International attention, nafikiri hapo hawakufanikiwa, Uislam ni jamii ndogo sana ya watu duniani wasilazimishe popularity.
 
Polisi ndio wanasababisha Watanzania wawazoee vibaya. Vurugu nyingi wanazisababisha wao alafu wanashindwa kudhibiti. Huo ni mwanzo tu. Ngoja siku wataiba kura za CUF au CHADEMA tena wataona mziki wa Kilingala.
 
kundi la Ponda lina link na al shabaab na inteliensia ilipata hii taaarifa ndio maana jeshi likaingia kazini kuhakikisha hakuna mvaa pedo anayeigusa ikulu
kwanini wasimfanye ponda kama aboud rogo wa mombasa? watu tuna mambo mengi ya kimaendeleo ya kufanya
 
Hahahaha nyie Great Thinkers vipi??
Ule ni ujumbe ulikuwa unatumwa kwa CHADEMA..
 
Jeshi lililetwa kwa sababu polisi, NI dhaifu wangeua waislamu na kuzua balaa, ilalhi VIONGOZI wa polisi NI Saidi na Selemani, wangeswali wapi?
 
Ijayo ni zamu ya mvuruga amani Dr Sinaraha aka Thaa ala Slaa. Atachapika na wajeshi si anajifanya kamanda tutaona. This time TPDF hawana mashala.
 
aliye agiza jeshi lije pale kariakoo ni kichaa, jeshi la nini kwenye shughuli nyepesi kama ile, wale nyerere angewaacha waingie ikulu na makobazi yao na vimini vyao angewatandika mmoja mmoja fimbo za ukweli wasingerudia tena. chezea julius.
 
Ijayo ni zamu ya mvuruga amani Dr Sinaraha aka Thaa ala Slaa. Atachapika na wajeshi si anajifanya kamanda tutaona. This time TPDF hawana mashala.

muulize mubarak wakati anakimbizwa ikulu jeshi lilikuwa wapi? asad nae amekaza lakini anang'oka na jeshi lake, unaweza kulitumia kwa muda lakini mwisho wa siku jeshi huwa ni la wananchi.
 
Mimi naamini wanajeshi walihusika baada ya kuona askari polisi wetu wamezidiwa, na pia wana wajibu wa kulinda amani kwenye nchi yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom