Mtatiro ana jazba na bado anakosa umakini kiasi flani,anaweza kuwa anatumia nguvu sana zaidi ya brain
Na kwa nini useme hata Mnyika anakufahamu?ama unadhani Tanzania nzima ni Mnyika tu?acha kuendelea kumfikiria Mnyika kwani kiukweli jamaa ni zaidi yako ukubali usikubali