Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?

Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,504
Reaction score
911,249
Maraisi wote wa EAC walituma wawakilishi tu kwenye miaka 50 ya uhuru ambayo JK aliikuza sana kulikoni stahili yake.................kwa khali ya umasikini tulionao swali la msingi hizo hela za sherehe zingeliweza kupunguza makali ya uhafifu wa huduma nyingi kwenye jamii yetu....................................

kwa mtanzania wa kawaida anayeishi kwa mlo mmoja kwa kutwa...................................alishindwa kuelewa hivi hawa wanapongezana kwa kunifukarisha au kwa wao kunufaika na uhuru tajwa pekee yao............................mahudhurio ya sherehe tajwa mikoani ni kipimo kuwa raia hatuoni manufaa ya uhuru kwetu........................Dar mahudhurio yalishamiri kwa sababu wengi wao ni wazururaji na hawana shughuli ya kufanya...........................na baadhi yao walitarajia hata kupata peremende lakini baada ya hafla kuisha wakubwa walitokomea Ikulu pekee yao kwenda kupongezana na kuwaacha wenye viherehere (kama Jk ambavyo amekuwa akitukandia)........................wakizubaa kutafuta usafiri wa kurudi makwao.................huku wengi wao wakikanyaga kwa mguu.............................

pengine kubwa kuliko yote ni nini nafasi ya miaka 50 ya uhuru katika muungano wa EAC....................ikumbukwe mwaka 1961 Nyerere alidiriki kudai ya kuwa alikuwa yuko tayari kuchelewesha uhuru wa Tanganyika kama itasaidia kuunda shirikisho la EAC.............

warithi wa Nyerere ambao hata yeye mwenyewe alikuwa gwiji wa kuwavika vilemba vya ukoka...................pale aliposema ya kuwa kiongozi aweza kutoka popote pale bali kiongozi wa kutumainiwa atatoka ndani ya ccm............................ninafikiri huko aliko atakuwa amepigwa butwaa..............................kumwona JK vile anavyoidhoofisha EAC...........

ilipokuja shirikisho la kisiasa JK alidai wananchi wauulizwe.........................yeye kama kawaida yake aliunda tume ya kukusanya maoni ambayo matunda yake hakuna anayeyafahamu...........................inapokuja muungano feki wa tanganyika na zenji............................huko hataki kusikia wananchi wanashirikishwa katika kutoa maoni yao kama hata wanauhitaji muungano wenyewe...................................hudai suala la muungano halijadiliwi........................lakini lile la EAC lazima lijadiliwe........................double standards? you can say that again.................

viongozi wote ndani ya EAC wanajua JK is not part of the solution...............................but he is a problem
................................na ndiyo maana hata kwenye miaka 50 ya uhuru wamemkwepa kwa kumtumia wasaidizi wao tu.............................kwa matumaini ya kuwa after JK...................................some sensible tanzanian will take over the reins of power...........................na kuufanya uhuru wetu kuwa na maana hata kwao wa Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi..........................kwa mazingira ya sasa JK ni "Dr. NO" katika masuala ya shirikisho la EAC..............................................ikija masuala ya ardhi JK anatetea mipaka iliyowekwa na mkoloni...........................bila ya kujua hiyo mipaka iliwekwa ili kutudhoofisha..................lakini yeye kwa sababu ya uroho wa madaraka anaona aitetee kulinda kitumbua chake ambacho kitafikia ukomo wake hivi karibuni.............by grace of the living GOD..........
 
Kwahili naweza kumtetea JK kwamba hakubaliki na hii ni kutokana na yanayoendela katika shirikisho, ikumbukweTanganyika inaonekana kama lulu miongoni mwa nchi za ukanda huu wa Afrika Mashariki, sasa kwa hayo yaliyojiri juzi kati wakati wa utiaji sign wa mkataba ambapo Tanganyika chini ya Samweli Sita waligoma mpaka baadhi ya vipengele vilipowekwa sawa umewakasirisha hawa jamaa!
walitegemea turuhusu ardhi yetu iwe yao, siasa na hata majeshi kitu ambacho kingetugharimu
Nimshukuru binafsi kwa mara ya kwanza JK kwa kutowapa vilaza hii wizara ya Afrika Mashariki maana naamini wangekuwa ni Malima,Kombani,Ngeleja, Nchimbi,Sofia simba, wamekamata hii wizara wangesign haraka haraka maana ni vihiyo watupu
 
Kwahili naweza kumtetea JK kwamba hakubaliki na hii ni kutokana na yanayoendela katika shirikisho, ikumbukweTanganyika inaonekana kama lulu miongoni mwa nchi za ukanda huu wa Afrika Mashariki, sasa kwa hayo yaliyojiri juzi kati wakati wa utiaji sign wa mkataba ambapo Tanganyika chini ya Samweli Sita waligoma mpaka baadhi ya vipengele vilipowekwa sawa umewakasirisha hawa jamaa!
walitegemea turuhusu ardhi yetu iwe yao, siasa na hata majeshi kitu ambacho kingetugharimu
Nimshukuru binafsi kwa mara ya kwanza JK kwa kutowapa vilaza hii wizara ya Afrika Mashariki maana naamini wangekuwa ni Malima,Kombani,Ngeleja, Nchimbi,Sofia simba, wamekamata hii wizara wangesign haraka haraka maana ni vihiyo watupu

tatizo kwako huelewi ya kuwa uhuru maana yake ni kufuta urithi wa mkoloni ikiwemo mipaka aliyotuwekea.....................mkoloni alitugawa ili atutawale...............................hivi yawaje akija kaburu kutoka sauzi anapewa ardhi ambayo wewe unadai ni lulu...............................ululu huo uko wapi wakati umasikini wazidi kushamiri.....................sana sana watetea ubinafswi ambao hautupeleki popote.....................yawaje inap[okuja EAC tujione ni lulu lakini kwa wazenji tujione hatuna maana hata kuona aibu kujiita jina stahili la watanganyika?????????????
 
Nimshukuru binafsi kwa mara ya kwanza JK kwa kutowapa vilaza hii wizara ya Afrika Mashariki maana naamini wangekuwa ni Malima said:
Hahahahaaaaa nimeienda hiii.......Ila umewasau vihiyo wengine....!!!!
 
Nimshukuru binafsi kwa mara ya kwanza JK kwa kutowapa vilaza hii wizara ya Afrika Mashariki maana naamini wangekuwa ni Malima said:
Hahahahaaaaa nimeienda hiii.......Ila umewasau vihiyo wengine....!!!!

kama hatuamini juu ya malengo ya EAC si tujitoe tu kulikoni kuwakwamisha wale wanaotaka kwenda mwendo mdundo.......
 
tatizo kwako huelewi ya kuwa uhuru maana yake ni kufuta urithi wa mkoloni ikiwemo mipaka aliyotuwekea.....................mkoloni alitugawa ili atutawale...............................hivi yawaje akija kaburu kutoka sauzi anapewa ardhi ambayo wewe unadai ni lulu...............................ululu huo uko wapi wakati umasikini wazidi kushamiri.....................sana sana watetea ubinafswi ambao hautupeleki popote.....................yawaje inap[okuja EAC tujione ni lulu lakini kwa wazenji tujione hatuna maana hata kuona aibu kujiita jina stahili la watanganyika?????????????
Nakushauri ufikiri sana hatma ya nchi yako miaka ijayo kabla ya kumlaumu Jk na Sitta katika suala la EAC hasa masula ya ardhi. Kumbuka ni 2015 Jk atamaliza kipind4 chake. Ungependa mrithi wake na wanao na wajukuu wagombee ardhi ya Nchi yao wenyewe na wakenya?
 
Kwa suala la EAC kwa kweli Jk na Sitta wanajaribu sana kutetea masirahi ya waTZ, hapo tukubali
Kwa muungano na ZNZ, ni kitu tofauti na EAC, ndio maana ni rahisi kuwapa ardhi au kukubaliana masuala ya kisiasa na ulinzi na ZNZ kuliko kufanya hivyo na Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,
 
Hizi ni enzi za think globally act locally. To think locally and act locally is a sure recipe for disaster.

spot on.............
 
Nakushauri ufikiri sana hatma ya nchi yako miaka ijayo kabla ya kumlaumu Jk na Sitta katika suala la EAC hasa masula ya ardhi. Kumbuka ni 2015 Jk atamaliza kipind4 chake. Ungependa mrithi wake na wanao na wajukuu wagombee ardhi ya Nchi yao wenyewe na wakenya?

nilizaliwa mtupu na nitarudi ardhini mtupu............................na wajukuu wangu vivyo hivyo............................hivi kwa nini mnawashupalia sana wakenya na huku wakija wzungu na wachina ardhi mnawagawia kama njugu?

lengo la EAC ni kuwa na shirikisho moja la kisiasa...............................sasa kama hatuwezi situjitoe tu.......................mkenya kama ni tatizo labda kwa vile hatawahonga warasimu serikalini kama wale wazungu na wachina wanavyowahonga..................hakuna masilahi ya taifa kwa kujikita kwenye mipaka iliyowekwa na mkoloni.......................UNITED STATES OF AFRICA..............is the only way katika kumaliza umasikini hapa nchini............................mwisho Ardhi tuliikuta na mali ya Mwenyezi Mungu na tuaiacha kwa sababu siyo yetu sasa ngebe hizi zatoka wapi?????????????????????
 
jk ni kilaza no moja east africa'lakini kama ukilaza wake ndio huo wa kutetea mipaka naunga mkono'jk ameona sisi bado kuchuana na wakenya'ebu tuachie kizazi kijacho tuone watafanya nini
 
kama hatuamini juu ya malengo ya EAC si tujitoe tu kulikoni kuwakwamisha wale wanaotaka kwenda mwendo mdundo.......

Wewe una asili ya kitusi'wote humu ndani tunakujua kwa hilo'sisi hatupo tayari kuungana na nyie kwa sasa'tuna mambo mengi ya kutengeneza ndani ya nchi yetu'hata nyie mna mengi ya kutengeneza hasa kufundisha watu wenu kuacha kuuana kwa mapanga'give us chance pleaseee
 
tatizo kwako huelewi ya kuwa uhuru maana yake ni kufuta urithi wa mkoloni ikiwemo mipaka aliyotuwekea.....................mkoloni alitugawa ili atutawale...............................hivi yawaje akija kaburu kutoka sauzi anapewa ardhi ambayo wewe unadai ni lulu...............................ululu huo uko wapi wakati umasikini wazidi kushamiri.....................sana sana watetea ubinafswi ambao hautupeleki popote.....................yawaje inap[okuja EAC tujione ni lulu lakini kwa wazenji tujione hatuna maana hata kuona aibu kujiita jina stahili la watanganyika?????????????

jina lako 2 linatia shaka uraia wako,2napaswa kumpa hongera JK kwa kulinda ardhi ye2,nadhan unataka 2wape ardhi waganda kisa na wewe una hasili ya Uganda?
 
jk ni kilaza no moja east africa'lakini kama ukilaza wake ndio huo wa kutetea mipaka naunga mkono'jk ameona sisi bado kuchuana na wakenya'ebu tuachie kizazi kijacho tuone watafanya nini

jibu hapo ni kujitoa tu..............na kuacha unafiki kuwa tunataka kuanzisha shirikisho la eac.........................wazungu wana msemo usemao..........."If you can not handle the heat stay out of the kitchen."
 
jina lako 2 linatia shaka uraia wako,2napaswa kumpa hongera JK kwa kulinda ardhi ye2,nadhan unataka 2wape ardhi waganda kisa na wewe una hasili ya Uganda?

poe sana mimi ni mtanzania wa kuzaliwa tena Dar..............................jina langu umelijuaje................................this is only a penname..........
 
jina lako 2 linatia shaka uraia wako,2napaswa kumpa hongera JK kwa kulinda ardhi ye2,nadhan unataka 2wape ardhi waganda kisa na wewe una hasili ya Uganda?

vipi makaburu mbona huwaongelei.......................au kwa vile huhona mapesa kibao kupata hiyo ardhi?.............angalia mbona mashimo yote ya madini tumemilikisha wazungu......................au ni kheri mzungu akitunyonya kulikoni tukinyonywa na wamatumbi wenzetu?????????????????
 
jibu hapo ni kujitoa tu..............na kuacha unafiki kuwa tunataka kuanzisha shirikisho la eac.........................wazungu wana msemo usemao..........."If you can not handle the heat stay out of the kitchen."

Wazungu gani hao'wale walioigawa sudan?nani kakuambia sisi waafrica tunaweza kuungana?
Mbona tanganyika na znz matatizo kibao tangu tulipoungana?je tukiingiza wakenya na watusi itakuwaje?
 
Wewe una asili ya kitusi'wote humu ndani tunakujua kwa hilo'sisi hatupo tayari kuungana na nyie kwa sasa'tuna mambo mengi ya kutengeneza ndani ya nchi yetu'hata nyie mna mengi ya kutengeneza hasa kufundisha watu wenu kuacha kuuana kwa mapanga'give us chance pleaseee

laiti ungelijua utanzania wangu ni wa kuzaliwa......................................soma cv yangu kabla ya kujiumbua mwenyewe......................usitafute majibu mepesi kwa maswali magumu................
 
vipi makaburu mbona huwaongelei.......................au kwa vile huhona mapesa kibao kupata hiyo ardhi?.............angalia mbona mashimo yote ya madini tumemilikisha wazungu......................au ni kheri mzungu akitunyonya kulikoni tukinyonywa na wamatumbi wenzetu?????????????????

kwann unang'ang'ania 2gawe ardì ye2 kwa manyang'au? 2 be honest hata kama wewe ni mtanzania wa kuzaliwa wazazi wako wamepata uraia wa maombi
 
Back
Top Bottom