huyu anaendlea na kazi yake kama kawaida,hasa kuhakikisha Lowasa haingii ikulu,anatoa siri zote zinazohusu mipango ya Lowasa
Hata Robert Mboma alihusishwa na kutaka kugombea ubunge , naye je!
Jina lake linatajwa kwakuwa ni maradona katika siasa za Tanzania.Anao ujuzi mkubwa katika fani.
Anyway mi sikujua kuwa Tanzania iko kwenye vyama vingi vya siasa.
Mnataka afe njaa akisubiri fadhila...badala ya kutumia ujuziwake.
Mnajua Sarakikya analipwa elfu hamsini kwa mwezi? Jamani acheni kudhalilisha watu.
Hivi mtu akiwa amestaafu miaka 9 iliyopita bado anatakiwa tu akae nyumbani akisubiri kufa hata kama anaujuzi?
Mbona Dr Kitine baada ya kustaafu aliendelea kuwa waziri na kujihusisha na siasa?
Vipi Dr Mahiga aliyeenda kugombea ubunge Iringa Mjini?
Mkuu una point sanaGeorge Bush senior alikuwa mkuu wa CIA ...and then akagombea uraisi baadae...sasa huyu anayekuwa mwenyekiti wa campaign ndio issue?
George Bush senior alikuwa mkuu wa CIA ...and then akagombea uraisi baadae...sasa huyu anayekuwa mwenyekiti wa campaign ndio issue?
Tatizo ni kwamba wengi hawalioni hilo!!!Apson yuko kikazi zaidi...tulia!
Mbona hatwambii wanajeshi wastafu kuwa wakuu wa mikoa na wilaya??
Njeru kasaka je mbona humtaji na kaina IGP mstaafu Mahita je mbona aligombea ubunge. Serikali ilishatoa nafasi kwa mfanyakazi kujiongezea kipato kwa kazi mbadala tangu henzi za Mzee Ruksa.Hata Robert Mboma alihusishwa na kutaka kugombea ubunge , naye je!
Tatizo ni njaa inakuwa kali sana baada ya kustaafu. Kama mtu hana uvumilivu lazima anafanya mambo ya kushangaza kama Mzee Apson. Ingekuwa vizuri akajitoa kwenye siasa. Watu wa karibu yake wangemshauri mapema asije akajiharibia maisha yake ya uzeeni. Vilevile labda tuangalie upya sheria kama kuna uwezekano ibadilishwe ili watu wanaokuwa viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wazuiwe kujiingiza kwenye siasa. Tuangalie na nchi nyingine wanafanyaje.