Kama wachina wana mwaka mpya wao huu mwaka mpya wa Leo ni wa watanzania sio?Ni utaratibu tu.
Ndio maana sisi WAISLAM tuna kalenda yetu.
WACHINA wana Mwaka mpya wao.
WAETHIOPIA wana Mwaka mpya wao.
Hapo juu ni mifano michache tu niliyoitaja.
Kwahiyo usijiumize kichwa
Naona mimi na wewe hatuwezi kuelewana hapa.Kama wachina wana mwaka mpya wao huu mwaka mpya wa Leo ni wa watanzania sio?
Pamoja na kuwa na kalenda yenu, ila ni kama mfu, dunia nzima haifui dafu mbele ya Kalenda ya Kikatoliki(Gregorian.Calender)Ndio maana sisi WAISLAM tuna kalenda yetu.
Kheri ya Mwaka Mpya MkurugenziPamoja na kuwa na kalenda yenu, ila ni kama mfu, dunia nzima haifui dafu mbele ya Kalenda ya Kikatoliki(Gregorian.Calender)
Happy New Year of the Lord 2017
Like wise..Kheri ya Mwaka Mpya Mkurugenzi
UbarikiweAya na wewe pia....!!
GOD Bless you AlwaysLike wise..
Kwa kila jambo lakoKivip...?!