Kwanini ITV mmetuletea ripota mtoto Richard Steven

Nas Mapesa

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
5,283
5,420
Kwanza sina uhakika kama katimiza kisheria umri wa kuajiriwa(mtanisaidia hapa)lakini nakumbuka huyu mtoto alikua mwanafunzi sielewi ni lini kamaliza shule/chuo na kuanza kazi,nimekua nikikaona kana report mambo ya kipindi cha kipima joto ila siku zinavyozidi kwenda nazidi kumuona anareport vitu vikubwa(mahojiano)

kama mnavyojua mtoto ni mtoto yaani uwezo wa kazi aliyopewa hana
Ushauri-kama mmeamua itv kumuajiri huyu mtoto ni vema akaanza na vipindi vidogovidogo/kawaida hasa vya watoto mpaka akue kifikra na kimwili kwanza.
 
Judge Mstaafu Joseph sinde Warioba aliteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikal akiwa na miaka 25! Tazama uwezo wake sio umri. Sheria imeruhusu ajira kuanzia miaka 14 ila kazi ngumu kama za migodini ndio mpaka utimize 18.
 
Kwanza sina uhakika kama katimiza kisheria umri wa kuajiriwa(mtanisaidia hapa)lakini nakumbuka huyu mtoto alikua mwanafunzi sielewi ni lini kamaliza shule/chuo na kuanza kazi,nimekua nikikaona kana report mambo ya kipindi cha kipima joto ila siku zinavyozidi kwenda nazidi kumuona anareport vitu vikubwa(mahojiano)

kama mnavyojua mtoto ni mtoto yaani uwezo wa kazi aliyopewa hana
Ushauri-kama mmeamua itv kumuajiri huyu mtoto ni vema akaanza na vipindi vidogovidogo/kawaida hasa vya watoto mpaka akue kifikra na kimwili kwanza.
Una sema ni mtoto kwakuwa hajaleta uchochezi na kuhoji unayopenda kuyasikia?
Kijana ni makini sana na amehoji maswali vizuri sana!

Najua ulitaka amuulize lini na wao CCK watagomea uchaguzi au kujitoa.
 
Tuache figisu figisu, hapo ndio kuandaa vipaji! Dogo ana kipaji anapata uzoefu, changamoto anazozipata hivi sasa ndizo zitakazomfanya awe bora zaidi! Millard Ayo alianza akiwa na umri gani, na sasa ana umri gani..?
 
Mbona anauwezo mzur tu kuwazd ata hao wakubwa nmeona mara nying akitangaza yuko vzur
 
Kwanza sina uhakika kama katimiza kisheria umri wa kuajiriwa(mtanisaidia hapa)lakini nakumbuka huyu mtoto alikua mwanafunzi sielewi ni lini kamaliza shule/chuo na kuanza kazi,nimekua nikikaona kana report mambo ya kipindi cha kipima joto ila siku zinavyozidi kwenda nazidi kumuona anareport vitu vikubwa(mahojiano)

kama mnavyojua mtoto ni mtoto yaani uwezo wa kazi aliyopewa hana
Ushauri-kama mmeamua itv kumuajiri huyu mtoto ni vema akaanza na vipindi vidogovidogo/kawaida hasa vya watoto mpaka akue kifikra na kimwili kwanza.
labda MFOO SARO ni mJAMZITO NDIO MAANA DOGO KAPEWA KWA MDA
 
Acha wivu na dharau,yule sio mtoto maana unaweza kumpa mkeo au dadako na akamjaza mimba.
Au unataka yeye aache kutangaza ukachukue nafasi yake?
Tuwe tunahoji vitu serious japokuwa kila mtu ana uhuru wa kuhoji.
We pia kumbe ni mtoto,nimuonee wivu kwa lipi fani yangu na yake vitu vinne tofauti,eti aache niende mimi we akili zako zime expire kwa mishahara gani ya meng?
 
Back
Top Bottom