Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,283
- 5,420
Kwanza sina uhakika kama katimiza kisheria umri wa kuajiriwa(mtanisaidia hapa)lakini nakumbuka huyu mtoto alikua mwanafunzi sielewi ni lini kamaliza shule/chuo na kuanza kazi,nimekua nikikaona kana report mambo ya kipindi cha kipima joto ila siku zinavyozidi kwenda nazidi kumuona anareport vitu vikubwa(mahojiano)
kama mnavyojua mtoto ni mtoto yaani uwezo wa kazi aliyopewa hana
Ushauri-kama mmeamua itv kumuajiri huyu mtoto ni vema akaanza na vipindi vidogovidogo/kawaida hasa vya watoto mpaka akue kifikra na kimwili kwanza.
kama mnavyojua mtoto ni mtoto yaani uwezo wa kazi aliyopewa hana
Ushauri-kama mmeamua itv kumuajiri huyu mtoto ni vema akaanza na vipindi vidogovidogo/kawaida hasa vya watoto mpaka akue kifikra na kimwili kwanza.