LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 29,044
- 45,875
unaleta utani huuIRAN 9; 2 ISRAMAREKAN
unaleta utani huuIRAN 9; 2 ISRAMAREKAN
Unauasema hayo ukiwa viunga gani?Huo uwezo hana, labda aamue kujitoa muhanga
Katangaza jioni ya leo kuanzia mida ya usiku, kaanza na hizo base za US kutoka nchi saba,so mda si mrefu kaa Aljazeera, Hindustan Times uanze kustreams vita maana vita za middle east,unastream kama movie.Iran anawapiga jamaa zake waarabu.Hii achague kumpiga Israel au Marekani directly sio jamaa zake sema vita sio nzuri asee tuombee amani
Hata marekani haina uwezo huo ndio maana inabidi itumie nchi za jirani na Iran kufanya mashambulizi.Shida hapo ni kwa nini Iran hawezi kuthubutu kuishambulia Marekani direct, apige kombola pale New York....
Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache kupiga kambi za jeshi za Trump kwenye nchi za watu.
Iran unaweza kuta akapiga kombola pale Kenya kwenye kambi za jeshi za USA badala ya kutuma kombola pale Miami.
Mbona imelipua ubalozi au hujui ubalozi wa marekani huko bahrain unahesabika ni ardhi USA??Iran itabakwa hadharani ikijaribu kufanya hivo.
Kwamba Iran hawana Meli za Kivita?Hata marekani haina uwezo huo ndio maana inabidi itumie nchi za jirani na Iran kufanya mashambulizi.
Alternatively wanatumiaga meli vita zilizo karibu na Persian gulf ili kurusha makombora au ndege vita.
So Iran ingekua na kambi mfano Mexico au Cuba ingeweza kupiga.
Ndio maana imeshambilia ubalozi/kambi za jeshi za wa marekani kwenye moja ya kombora huko Bahrain/Qatar ambayo kimsingi ni ardhi ya USA!!
Kuishambulia Bahrain ni sawa... na wewe upigwe konzi na Abdul Kisha uende kulipa kisasi kwa Omari kisa tu Abdul uwa analala na Omari... kwa nini husiende moja kwa moja kwa Abdul ulipe kisasiMbona imelipua ubalozi au hujui ubalozi wa marekani huko bahrain unahesabika ni ardhi USA??
Elewa basi, ukipewa ardhi ya kuweka ubalozi kisheria pale sio Tanzania tena ni ardhi ya nchi iliyoweka ubalozi!! Ndio maana ukivamia ubalozi wa nchi husika basi serikali yao ina haki ya kutamka kuwa imevamiwa!!Kwamba Iran hawana Meli za Kivita?
Watume Meli za Kavita hadi pale Miami, waotungue Marekani.
Hizo balozi au kambi wanazoshambulia unakuta wafanyakazi wengi sio wamarekani ni raia wa hizo nchi. Hata hapa kwetu balozi za marekani unakuta boss ndio marekani, alafu wafanya kazi wengi wa chini unakuta ni wabongo
Hapana hajapigq Bahrain amepiga kambi na meli vita zilizopo Bahran, Qatar na kokote pale ambapo zana za USA zilikua zinafanya mashambulizi kuelekea Iran.Kuishambulia Bahrain ni sawa... na wewe upigwe konzi na Abdul Kisha uende kulipa kisasi kwa Omari kisa tu Abdul uwa analala na Omari... kwa nini husiende moja kwa moja kwa Abdul ulipe kisasi
Muulize Japan manake yeye ndiyo mfano pindi US unapomgusa kwenye ardhi yake, yaani anaachia nuclear bila ya kujiuliza mara mbili. Wao wanaamini sheria za kimataifa ni kwa ajili ya mataifa mengine ila siyo kwao.Shida hapo ni kwa nini Iran hawezi kuthubutu kuishambulia Marekani direct, apige kombola pale New York....
Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache kupiga kambi za jeshi za Trump kwenye nchi za watu.
Iran unaweza kuta akapiga kombola pale Kenya kwenye kambi za jeshi za USA badala ya kutuma kombola pale Miami.
Kwanini ajisumbue kupiga Miamai wakati interest za USA zipo hapo jirani yake?Shida hapo ni kwa nini Iran hawezi kuthubutu kuishambulia Marekani direct, apige kombola pale New York....
Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache kupiga kambi za jeshi za Trump kwenye nchi za watu.
Iran unaweza kuta akapiga kombola pale Kenya kwenye kambi za jeshi za USA badala ya kutuma kombola pale Miami.