Kwanini ipo hivi?

Uzuri sio kigezo, shape hata mbuzi anayo.
Tabia itakuwa mbaya
 
wazuri mnajishebedua mkijua mnatakwa wengi.. c tulopinda sura ukikamatwa unashikilia mwanzo mwisho.
 
Uzuri sio kigezo, shape hata mbuzi anayo.
Tabia itakuwa mbaya

Halafu hii topic nimeikuta Instagram kwenye account ya "usipojipanganitakupanga"tena ameiscreen shoot hivi hivi,kweli JF ndio baba la habari Tanzania hii.
 
Hapa tunadiskashen nn atoto
 
Last edited by a moderator:





Tupeane uzoefu huwa unapenda kufanya nini shule zikifungwa mpaka zikifunguliwa.

Tulia shuleni binti.
 
Wanaoolewa wote ni wazuri. Wewe bado hujaolewa mpaka sasa hivi kwa kuwa ni mbaya. Alafu kumbuka kizuri roho tu.
 
Vp mwalim wa kemia? Mkubalie atakuoa..
 
surely , you are not wife material yet kama bado unaona shepu na sura ndiyo vigezo vya kuolewa.
subiri ukue akili ndiyo uulize tena swal vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…