inawezekana wewe unajiona mzuri kumbe sio, una rise invoice kubwa kwa wanaume ukidhania kwamba wewe ni mzuri una vigezo vya kupewa kila kitu kumbe wapi maana hata huo uandishi wako umenitia mashaka ebu jichunguze tena then urudi kwa hao marafiki zako unaowaona unawazidi uzuri uwaombe ushauri ni vipi wao wameolewa wanaweza kukupa ushauri mzuri...