Mia saba
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 255
- 390
Asilimia kubwa ya mada nyingi humu zinazungumzia kuchapa k na kulala mbele.
Je, somo la mapenzi liingizwe mashuleni maana wanaume tunakosa uvumilivu wa kuishi na ke
Je, wazee wetu waliwezaje kuishi nao
Je, hakukua na pesa enzi izo, hakukua na utajiri wa kuwavutia ke wa wakati huo.
Tuwapende ke , tuwajali kwani hao ndio vitulizo pekee vyetu tulivopewa me hapa duniani.
Kikubwa ke nao wajitambue.
Nawasilisha
Je, somo la mapenzi liingizwe mashuleni maana wanaume tunakosa uvumilivu wa kuishi na ke
Je, wazee wetu waliwezaje kuishi nao
Je, hakukua na pesa enzi izo, hakukua na utajiri wa kuwavutia ke wa wakati huo.
Tuwapende ke , tuwajali kwani hao ndio vitulizo pekee vyetu tulivopewa me hapa duniani.
Kikubwa ke nao wajitambue.
Nawasilisha