Kwanini ilinibidi niache Shule

Kwanini ilinibidi niache Shule

Kwa jina naitwa Michael Luoga (chuma masofa ) mzawa wa Songea mkoani Ruvuma

Mimi ni mtoto wa kwanza wa familia ya watoto 5 mimi ni mtoto wa familia ya kipato Cha chini nimezaliwa mwaka 2000 nikapata elimu ya msingi katika Shure ya msingi madizini Songea mwaka 2015 nikahitimu na mwaka 2016 nikajiunga na Shule ya Sekondari Rondoni Songea maisha ya Shule yalikuwa mazuri nikamaliza mwaka wa Kwanza mwaka wa pili ulipoanza nkaendelea na masomo ila ilipo fika mwenzi wa nne niliacha shule

Sababu zilizonifanya niache shule

1. Niliona walio na elimu wakihangaika mtaani na hasa alikuwa binamu yangu alie kuwa kasomea masuala ya ardhi anazurula mtaani

2. Hali ya kimaisha ya familia yalikuwa magumu sana hivyo mahitaji ya Shure mzazi akuweza kukizi japo aling'ang'ana nsome tu ivyo ivyo nakumbuka niko form one nilienda Shure kiugumu sana na naingia form two mdogo wangu anaenifuata naye anaingia form one dah nikaona game hili gumu nikaamua kujivua japo nilipingwa Sana

3. Nilipima nikaona elimu ya mtaani inalipa kwa haraka endapo kama ntakuwa makini na serious na maisha

Maisha baada ya kuacha shule
Nilianza harakati za kutafuta hela ili nkajifunze udereva nilipoanza hizo harakati nakumbuka kulikuwa kuna kanisa linajengwa kata ya lizaboni songea nkapta ajila ya kumimina zege lakini mungu si asmani siku ya pili alifika kaka yangu mtoto wa mama mkubwa na tokaongea akanichukua nkaenda kujifunza kutengeneza sofa na safali nyingine ikaanza Apo

Maisha kuanza kwenye ufundi yalikuwa na changamoto nyingi na majalibu ila nlikomaa nayo na atimae nkawa fundi lakin lavel ya kiasi tu pale nkaanza pata fedha kidogo kidogo ndipo bahadae kidogo nkapata chansi ya kwenda wilaya ya mbinga kufanya kazi kwenye ofisi za Uncle Sam furniture TZ nkafanya kazi kwa mda wa mienzi kazaa lakin nako nkafel tena nlikosa malipo ya mda wote nlio fanya kazi zaid ya posho tu dah ikawa changamoto tena mahana nilitegemea mda nlio fanya kazi pale ile pesa ndo ingekuwa mtaji wa jufungua ofisi yangu lakn nkaangukia pua dah kwa leval ya ufundi niliyo kuwa nayo ilikuwa ndogo basi nikajitosa tena kwenda kujifunza zaidi nkaenda kujifunza kazi tena kwa novath samwel mmiliki wa bravo sofa sets

Mwanzo maisha nlio ishi na jamaa zangu kina novath yalikuwa mazuri na Wala sikujutia swala la kujifunza zaidi tukaenda enda lakini mbele ikawa changamoto tena kama kutengwa na kila lafiki wa mwanzo wa ofisi nlizo kuwa nafanya kazi na watu wa karibu na pia ikafika kipindi hata hao watu niliokuwa nao kwa muda huo nao kutoelewana nao na kufikia mwaka 2019 ikabidi niondoke nkaja zangu mafinga pasipo kujua namfata Nani wa ndugu wa jamaa wa kalibu

Maisha ndani ya mafinga yakawa magumu tofauti na nlivyo talajia nlicho amini nimeumbwa Wala sijajiumba ivyo maisha ni mzunguko iko siku nitapata tu nkasonga kibishi na baada ya miezi miwili nkafanikiwa panga chumba na baada ya hapo nkakutana na kampani ya kamkopo nikafungua ofisi na mbaka sasa naendelea vizuri na ninapata umaarufu wa kazi nzuri za fanicha co now nmewashika na wengine mkono wengine hata siwajui lakini naishi nao tukisaka chapaaa

Ushauli
Ukiona elimu aifai usilazimishe kwa kumlizisha mzazi au mwalimu fanya lengo lako kwa wakati na pia malufuku kukata tama mahana ukikubali kushindwa bas utaludi nyuma mala kumi zaidi lakini sikushauli uache shule apana soma Kwanza
Na kingine riziki yako inavyo kuja basi huvuta misili ya akili ielekee uko ukijiona unafaa basi na wanadam watakuona unafaaa so thanks I love u

With Michael luoga chuma ...meneger c.m.f sofa sets mafinga
Support vijana kwanza... Luck angel crew dancer
Saport pinga ukatili ..nasoma kwanza

View attachment 1541054
Mkuu London I tulikua wote hapo kwa Mr mng'ong'o
 
Hongera Kamanda kaza buti..check you tubes upate vitu vipya kuvutia wateja .usiishie kwenye Hizo model tu za sofa! Gangamala maisha si lelemama
 
Hao Microsoft ulio was cite nao WALIACHA shule..!!!

#YNWA
Embu acheni kumjaza ujinga.
Hao wa Microsoft hawajaishia form 2.
Hawajaacha shule ilhali kuandika basic vitu vya aeiou hawajui.
Those guys waliacha vyuo.
Na siyo vyuo tu ni Havard huko na Yale.

Sasa wewe unaanzaje kuwafananisha na huyo asiejua kuandika walau sentensi moja ya kiswahili? Asiyejua kujenga hoja akaeleweka.
Sasa anaacha shule anaenda kujifunza udereva wakati home hakuna hata pikipiki ya kupigia deiwaka.

Hata angejua huo udereva nani angemuajiri ikiwa cheti cha form four hana.
Cheti cha form four ni kama vile tunavyojenga nyumba lazima msingi.

Kafika kwenye fenicha kwa kubahatisha tu.

Haikuwa ndoto yake wala lengo lake.
 
Uliacha shule ukiwa darasa la ngapi maana uandishi wako ni changamoto sana.

Maisha hayana fomyula kamanda na hongera kwa kutambua ulilotakiwa kufanya kungali mapema. Naamini elimu uliyoipata kabla hujaacha shule kwa namna moja au nyingine ndiyo inakusaidia katika biashara yako. Kila la heri !!!
My Soulmate, unanishauri nini mwenyewe nataka kuacha shule tu😀
 
Dogo bora ungemaliza hata form 4 tu sababu kuandika tu bado huwezi

All in all kuwa na uhuru wa kipato au uhuru wa elimu bora uwe na uhuru wa kipato hizi elimu kama unazo lakini hazikuingizii chochote ni ujinga tu

Ipi bora_Kuishia form 2 lakini unaingiza pesa nyingi kwa siku na kuwa na Phd lakini mfukoni huna kitu?
 
Dogo bora ungemaliza hata form 4 tu sababu kuandika tu bado huwezi

All in all kuwa na uhuru wa kipato au uhuru wa elimu bora uwe na uhuru wa kipato hizi elimu kama unazo lakini hazikuingizii chochote ni ujinga tu

Ipi bora_Kuishia form 2 lakini unaingiza pesa nyingi kwa siku na kuwa na Phd lakini mfukoni huna kitu?

Best kwa jichofulani huyu ana uafadhari .unawaongeleaje wale wenye degree zao lakini wamebakia kuota kuajiriwa?
Unawaongeleaje wale walokacha shule na wamekuwa vibaka wanaua mtu aondoke na elfu 20? Bora huyu amejiongeza...huyu akiwa amesimama ajipige msasa asome masomo ya jioni Basi itamsaidia Sana! Mie kanibariki aisee
 
Best kwa jichofulani huyu ana uafadhari .unawaongeleaje wale wenye degree zao lakini wamebakia kuota kuajiriwa?
Unawaongeleaje wale walokacha shule na wamekuwa vibaka wanaua mtu aondoke na elfu 20? Bora huyu amejiongeza...huyu akiwa amesimama ajipige msasa asome masomo ya jioni Basi itamsaidia Sana! Mie kanibariki aisee
Mimi mwenyewe nampongeza kuonyesha uthubutu kuliko angeendelea kung'ang'ana na kitu ambacho hajui mwisho wake utakuwa vipi
 
Kwa jina naitwa Michael Luoga (chuma masofa ) mzawa wa Songea mkoani Ruvuma

Mimi ni mtoto wa kwanza wa familia ya watoto 5 mimi ni mtoto wa familia ya kipato Cha chini nimezaliwa mwaka 2000 nikapata elimu ya msingi katika Shure ya msingi madizini Songea mwaka 2015 nikahitimu na mwaka 2016 nikajiunga na Shule ya Sekondari Rondoni Songea maisha ya Shule yalikuwa mazuri nikamaliza mwaka wa Kwanza mwaka wa pili ulipoanza nkaendelea na masomo ila ilipo fika mwenzi wa nne niliacha shule

Sababu zilizonifanya niache shule

1. Niliona walio na elimu wakihangaika mtaani na hasa alikuwa binamu yangu alie kuwa kasomea masuala ya ardhi anazurula mtaani

2. Hali ya kimaisha ya familia yalikuwa magumu sana hivyo mahitaji ya Shure mzazi akuweza kukizi japo aling'ang'ana nsome tu ivyo ivyo nakumbuka niko form one nilienda Shure kiugumu sana na naingia form two mdogo wangu anaenifuata naye anaingia form one dah nikaona game hili gumu nikaamua kujivua japo nilipingwa Sana

3. Nilipima nikaona elimu ya mtaani inalipa kwa haraka endapo kama ntakuwa makini na serious na maisha

Maisha baada ya kuacha shule
Nilianza harakati za kutafuta hela ili nkajifunze udereva nilipoanza hizo harakati nakumbuka kulikuwa kuna kanisa linajengwa kata ya lizaboni songea nkapta ajila ya kumimina zege lakini mungu si asmani siku ya pili alifika kaka yangu mtoto wa mama mkubwa na tokaongea akanichukua nkaenda kujifunza kutengeneza sofa na safali nyingine ikaanza Apo

Maisha kuanza kwenye ufundi yalikuwa na changamoto nyingi na majalibu ila nlikomaa nayo na atimae nkawa fundi lakin lavel ya kiasi tu pale nkaanza pata fedha kidogo kidogo ndipo bahadae kidogo nkapata chansi ya kwenda wilaya ya mbinga kufanya kazi kwenye ofisi za Uncle Sam furniture TZ nkafanya kazi kwa mda wa mienzi kazaa lakin nako nkafel tena nlikosa malipo ya mda wote nlio fanya kazi zaid ya posho tu dah ikawa changamoto tena mahana nilitegemea mda nlio fanya kazi pale ile pesa ndo ingekuwa mtaji wa jufungua ofisi yangu lakn nkaangukia pua dah kwa leval ya ufundi niliyo kuwa nayo ilikuwa ndogo basi nikajitosa tena kwenda kujifunza zaidi nkaenda kujifunza kazi tena kwa novath samwel mmiliki wa bravo sofa sets

Mwanzo maisha nlio ishi na jamaa zangu kina novath yalikuwa mazuri na Wala sikujutia swala la kujifunza zaidi tukaenda enda lakini mbele ikawa changamoto tena kama kutengwa na kila lafiki wa mwanzo wa ofisi nlizo kuwa nafanya kazi na watu wa karibu na pia ikafika kipindi hata hao watu niliokuwa nao kwa muda huo nao kutoelewana nao na kufikia mwaka 2019 ikabidi niondoke nkaja zangu mafinga pasipo kujua namfata Nani wa ndugu wa jamaa wa kalibu

Maisha ndani ya mafinga yakawa magumu tofauti na nlivyo talajia nlicho amini nimeumbwa Wala sijajiumba ivyo maisha ni mzunguko iko siku nitapata tu nkasonga kibishi na baada ya miezi miwili nkafanikiwa panga chumba na baada ya hapo nkakutana na kampani ya kamkopo nikafungua ofisi na mbaka sasa naendelea vizuri na ninapata umaarufu wa kazi nzuri za fanicha co now nmewashika na wengine mkono wengine hata siwajui lakini naishi nao tukisaka chapaaa

Ushauli
Ukiona elimu aifai usilazimishe kwa kumlizisha mzazi au mwalimu fanya lengo lako kwa wakati na pia malufuku kukata tama mahana ukikubali kushindwa bas utaludi nyuma mala kumi zaidi lakini sikushauli uache shule apana soma Kwanza
Na kingine riziki yako inavyo kuja basi huvuta misili ya akili ielekee uko ukijiona unafaa basi na wanadam watakuona unafaaa so thanks I love u

With Michael luoga chuma ...meneger c.m.f sofa sets mafinga
Support vijana kwanza... Luck angel crew dancer
Saport pinga ukatili ..nasoma kwanza

View attachment 1541054
Sema ulikuwa kiazi tu shule ukakubaliana na ukweli ukaona usipoteze muda. Tusichokijua ni kuwa si lazima na haijaandikwa popote kuwa ni lazima kila mtu asome hadi chuo, jambo ambalo hata huyo ndugu yako aliyesoma ardhi hakulifahamu. Akaenda shule bila kufahamu anahitaji nini huko shule, akahitimu na sasa hajui anaishi ili iweje! Wewe ulitambua kabla hujapoteza muda na visenti vya wazazi wako.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Angeenda shule asingefika hapo..
Shule imefuta ndoto za watu wengi sanaa.
C.Ronaldo anasema "niliambiwa nikiendekez mpira nikaach shule ningekua maskini ila Leo ni .......""

#YNWA
Unafeli sana kulinganisha elimu ya shule na bonafide kipaji kama cha C Ronaldo.....

Kipaji hasa cha sports huwezi chelewa zaidi ya 19years old...kwahiyo shule lazima isubiri otherwise kipaji kitaishia akiwa kwenye dawati...

Unafananisha na upumbavu wa kuchonga fanicha?

Kua serious ndugu yangu
 
Back
Top Bottom