Kwanini ilinibidi niache Shule

Kwanini ilinibidi niache Shule

Michael chuma

Member
Joined
Jul 16, 2020
Posts
9
Reaction score
33
Kwa jina naitwa Michael Luoga (chuma masofa ) mzawa wa Songea mkoani Ruvuma

Mimi ni mtoto wa kwanza wa familia ya watoto 5 mimi ni mtoto wa familia ya kipato cha chini nimezaliwa mwaka 2000 nikapata elimu ya msingi katika Shure ya msingi madizini Songea mwaka 2015 nikahitimu na mwaka 2016 nikajiunga na Shule ya Sekondari Rondoni Songea maisha ya Shule yalikuwa mazuri nikamaliza mwaka wa Kwanza mwaka wa pili ulipoanza nkaendelea na masomo ila ilipo fika mwenzi wa nne niliacha shule

Sababu zilizonifanya niache shule

1. Niliona walio na elimu wakihangaika mtaani na hasa alikuwa binamu yangu aliekuwa kasomea masuala ya ardhi anazurula mtaani

2. Hali ya kimaisha ya familia yalikuwa magumu sana hivyo mahitaji ya Shule mzazi akuweza kukizi japo aling'ang'ana nisome tu hivyohivyo, nakumbuka niko form one nilienda Shule kiugumu sana na naingia form two mdogo wangu anaenifuata naye anaingia form one dah nikaona game hili gumu nikaamua kujivua japo nilipingwa Sana.

3. Nilipima nikaona elimu ya mtaani inalipa kwa haraka endapo kama ntakuwa makini na serious na maisha

Maisha baada ya kuacha shule
Nilianza harakati za kutafuta hela ili nikajifunze udereva nilipoanza hizo harakati nakumbuka kulikuwa kuna kanisa linajengwa kata ya Lizaboni Songea nikapata ajira ya kumimina zege lakini Mungu si Athumani siku ya pili alifika kaka yangu mtoto wa mama mkubwa na tukaongea akanichukua nikaenda kujifunza kutengeneza sofa na safari nyingine ikaanzia hapo.

Maisha kuanza kwenye ufundi yalikuwa na changamoto nyingi na majaribu ila nlikomaa nayo na hatimae nikawa fundi lakin lavel ya kiasi tu pale nikaanza kupata fedha kidogo kidogo ndipo baadae kidogo nikapata nafasi ya kwenda wilaya ya Mbinga kufanya kazi kwenye ofisi za Uncle Sam furniture TZ, nIkafanya kazi kwa mUda wa miezi kadhaa lakini nako nikafeli tena, nilikosa malipo ya muda wote nliofanya kazi zaidi ya posho tu dah ikawa changamoto tena maana nilitegemea muda niliofanya kazi pale ile pesa ndio ingekuwa mtaji wa kufungua ofisi yangu lakini nikaangukia pua dah kwa leval ya ufundi niliyokuwa nayo ilikuwa ndogo basi nikajitosa tena kwenda kujifunza zaidi nikaenda kujifunza kazi tena kwa Novath Samwel mmiliki wa Bravo sofa sets.

Mwanzo maisha nilioishi na jamaa zangu kina Novath yalikuwa mazuri na wala sikujutia swala la kujifunza zaidi tukaenda enda lakini mbele ikawa changamoto tena kama kutengwa na kila rafiki wa mwanzo wa ofisi nilizokuwa nafanya kazi na watu wa karibu na pia ikafika kipindi hata hao watu niliokuwa nao kwa muda huo nao kutoelewana nao na kufikia mwaka 2019 ikabidi niondoke nikaja zangu Mafinga pasipo kujua namfata Nani wa ndugu wa jamaa wa karibu

Maisha ndani ya Mafinga yakawa magumu tofauti na nilivyotarajia nilichoamini nimeumbwa Wala sijajiumba hivyo maisha ni mzunguko iko siku nitapata tu nikasonga kibishi na baada ya miezi miwili nikafanikiwa panga chumba na baada ya hapo nikakutana na kampani ya kamkopo nikafungua ofisi na mpaka sasa naendelea vizuri na ninapata umaarufu wa kazi nzuri za fanicha so now nmewashika na wengine mkono wengine hata siwajui lakini naishi nao tukisaka chapaaa

Ushauri
Ukiona elimu haifai usilazimishe kwa kumridhisha mzazi au mwalimu fanya lengo lako kwa wakati na pia marufuku kukata tamaa maana ukikubali kushindwa basi utarudi nyuma mara kumi zaidi lakini sikushauri uache shule hapana soma Kwanza.

Na kingine riziki yako inavyokuja basi huvuta misuli ya akili ielekee uko ukijiona unafaa basi na wanadamu watakuona unafaaa so thanks I love u

With Michael luoga chuma ...maneger c.m.f sofa sets mafinga
Support vijana kwanza... Luck angel crew dancer
Saport pinga ukatili ..nasoma kwanza

1592112741462.jpg
 
Kila mtu ana riziki yake kwa mapito yake, si kwamba sababu fulani kafanikiwa kwa kufanya hivi na wewe utafanikiwa, au sababu fulani kashindwa basi na wewe utashindwa.

Hata mm ndugu yangu alikuwa ananikatisha tamaa sana kuhusu kusoma kwa story kama zako akitaka tufanye biashara. Nilimpuuza nikasoma, nikaajiriwa, kwa upande wake biashara iliyumba na hakuweza kusimama tena kama mwanzo. Sasa yeye ndo anaomba msaada kwa ajili ya ada za watoto wake. Maisha ni fumbo ajuaye ni Mwenyezi Mungu tu.
 
Ushauli
Ukiona elimu aifai usilazimishe kwa kumlizisha mzazi au mwalimu fanya lengo lako kwa wakati na pia malufuku kukata tama mahana ukikubali kushindwa bas utaludi nyuma mala kumi zaidi lakini sikushauli uache shule apana soma Kwanza
Na kingine liziki yako inavyo kuja basi uvuta misili ya akili ielekee uko ukijiona unafaa basi na wanadam watakuona unafaaa

Huu ni uthibitisho kuwa kweli uliacha shule, ila endelea kupambana

WATAKAOKUJA KUKUOMBA OWAONYESHE NJIA, NI WALE WALIOSEMA HUTOBOI - FidQ
 
Uliacha shule ukiwa darasa la ngapi maana uandishi wako ni changamoto sana.

Maisha hayana fomyula kamanda na hongera kwa kutambua ulilotakiwa kufanya kungali mapema. Naamini elimu uliyoipata kabla hujaacha shule kwa namna moja au nyingine ndiyo inakusaidia katika biashara yako. Kila la heri !!!
 
Nadhani kwa mtiririko huu wewe ndio unashida bwana fundi fenicha. Wala tatizo sio shule Wala wazazi kukosa kukulipia

Umeshafanya kazi sehemu nyingi na kote umeshindwana kuelewana na waliokuvuta kukufundisha kazi. We utakuwa mgumu Sana
 
Nadhani kwa mtiririko huu wewe ndio unashida bwana fundi fenicha. Wala tatizo sio shule Wala wazazi kukosa kukulipia

Umeshafanya kazi sehemu nyingi na kote umeshindwana kuelewana na waliokuvuta kukufundisha kazi. We utakuwa mgumu Sana
Ukitaka kuamini mgumu kaacha shule form two lakini kuandika hajui.
Hajui hata kuandika shule.
 
Kwa jina naitwa Michael Luoga (chuma masofa ) mzawa wa Songea mkoani Ruvuma

Mimi ni mtoto wa kwanza wa familia ya watoto 5 mimi ni mtoto wa familia ya kipato Cha chini nimezaliwa mwaka 2000 nikapata elimu ya msingi katika Shure ya msingi madizini Songea mwaka 2015 nikahitimu na mwaka 2016 nikajiunga na Shule ya Sekondari Rondoni Songea maisha ya Shule yalikuwa mazuri nikamaliza mwaka wa Kwanza mwaka wa pili ulipoanza nkaendelea na masomo ila ilipo fika mwenzi wa nne niliacha shule

Sababu zilizonifanya niache shule

1. Niliona walio na elimu wakihangaika mtaani na hasa alikuwa binamu yangu alie kuwa kasomea masuala ya ardhi anazurula mtaani

2. Hali ya kimaisha ya familia yalikuwa magumu sana hivyo mahitaji ya Shure mzazi akuweza kukizi japo aling'ang'ana nsome tu ivyo ivyo nakumbuka niko form one nilienda Shure kiugumu sana na naingia form two mdogo wangu anaenifuata naye anaingia form one dah nikaona game hili gumu nikaamua kujivua japo nilipingwa Sana

3. Nilipima nikaona elimu ya mtaani inalipa kwa haraka endapo kama ntakuwa makini na serious na maisha

Maisha baada ya kuacha shule
Nilianza harakati za kutafuta hela ili nkajifunze udereva nilipoanza hizo harakati nakumbuka kulikuwa kuna kanisa linajengwa kata ya lizaboni songea nkapta ajila ya kumimina zege lakini mungu si asmani siku ya pili alifika kaka yangu mtoto wa mama mkubwa na tokaongea akanichukua nkaenda kujifunza kutengeneza sofa na safali nyingine ikaanza Apo

Maisha kuanza kwenye ufundi yalikuwa na changamoto nyingi na majalibu ila nlikomaa nayo na atimae nkawa fundi lakin lavel ya kiasi tu pale nkaanza pata fedha kidogo kidogo ndipo bahadae kidogo nkapata chansi ya kwenda wilaya ya mbinga kufanya kazi kwenye ofisi za Uncle Sam furniture TZ nkafanya kazi kwa mda wa mienzi kazaa lakin nako nkafel tena nlikosa malipo ya mda wote nlio fanya kazi zaid ya posho tu dah ikawa changamoto tena mahana nilitegemea mda nlio fanya kazi pale ile pesa ndo ingekuwa mtaji wa jufungua ofisi yangu lakn nkaangukia pua dah kwa leval ya ufundi niliyo kuwa nayo ilikuwa ndogo basi nikajitosa tena kwenda kujifunza zaidi nkaenda kujifunza kazi tena kwa novath samwel mmiliki wa bravo sofa sets

Mwanzo maisha nlio ishi na jamaa zangu kina novath yalikuwa mazuri na Wala sikujutia swala la kujifunza zaidi tukaenda enda lakini mbele ikawa changamoto tena kama kutengwa na kila lafiki wa mwanzo wa ofisi nlizo kuwa nafanya kazi na watu wa karibu na pia ikafika kipindi hata hao watu niliokuwa nao kwa muda huo nao kutoelewana nao na kufikia mwaka 2019 ikabidi niondoke nkaja zangu mafinga pasipo kujua namfata Nani wa ndugu wa jamaa wa kalibu

Maisha ndani ya mafinga yakawa magumu tofauti na nlivyo talajia nlicho amini nimeumbwa Wala sijajiumba ivyo maisha ni mzunguko iko siku nitapata tu nkasonga kibishi na baada ya miezi miwili nkafanikiwa panga chumba na baada ya hapo nkakutana na kampani ya kamkopo nikafungua ofisi na mbaka sasa naendelea vizuri na ninapata umaarufu wa kazi nzuri za fanicha co now nmewashika na wengine mkono wengine hata siwajui lakini naishi nao tukisaka chapaaa

Ushauli
Ukiona elimu aifai usilazimishe kwa kumlizisha mzazi au mwalimu fanya lengo lako kwa wakati na pia malufuku kukata tama mahana ukikubali kushindwa bas utaludi nyuma mala kumi zaidi lakini sikushauli uache shule apana soma Kwanza
Na kingine riziki yako inavyo kuja basi huvuta misili ya akili ielekee uko ukijiona unafaa basi na wanadam watakuona unafaaa so thanks I love u

With Michael luoga chuma ...meneger c.m.f sofa sets mafinga
Support vijana kwanza... Luck angel crew dancer
Saport pinga ukatili ..nasoma kwanza

View attachment 1541054
Huenda ungekua Engineer na kufungua kampuni kama Microsoft nchini na kuchangia GDP ya nchi kwa 4% sawa na Nokia nchini Finland

Sababu zako tatu ulizotoa hapo juu ni za hovyo sana...baada kwenda shule kutoa ujinga na kua mwerevu zaidi ya ulivyo!

Wewe kumbe unadhani watu wanaenda shule ili kupata kazi hapo ndipo ulipokosea!

Cha ajabu umeishia kua mjenga Fanicha,of which nakupongeza ambapo infact ni hatua kubwa than most people,ila sio ajabu ungeenda shule zaidi ungekua na Kampuni kubwa ya fanicha kama Ikea ya Sweden

Kikwako unaona umefanikiwa sana,rightfully so,ila kuna unknown uliyo-miss kwa kutokwenda shule,I'm sure ungekua bora zaidi na ungetilia ufanisi wa productivity sababu ushaerevuka!

Unaona kama upo sawa sana ila kuna vitu humo humo kwenye fani yako sio mwerevu inavyotakiwa!

Tuache hii future missed success tunayojifanya umei-miss kwa kutokua mwerevu,ila kutokana na insha yako inaonesha unatatizo la linakuandama la kua na chuki ya waliokupita shuleni,kuna vitu hujavi-let go maana upo humu unawaponda walioenda shule..

Kuna chuki unayo kwasababu uliipenda elimu sana ila uliikosa hivyo umejenga chuki na competition na walioenda shule....hii ni back drop ya upumbavu wako wa poor judgement back then!

Tunarudi mle mle na matatizo ya kisaikolojia aliyo nayo Mbunge Musukuma..alikosa elimu basi watu waliosoma anawaona adui...
 
Huenda ungekua Engineer na kufungua kampuni kama Microsoft nchini na kuchangia GDP ya nchi kwa 4% sawa na Nokia nchini Finland

Sababu zako tatu ulizotoa hapo juu ni za hovyo sana...baada kwenda shule kutoa ujinga na kua mwerevu zaidi ya ulivyo!

Wewe kumbe unadhani watu wanaenda shule ili kupata kazi hapo ndipo ulipokosea!

Cha ajabu umeishia kua mjenga Fanicha,of which nakupongeza ambapo infact ni hatua kubwa than most people,ila sio ajabu ungeenda shule zaidi ungekua na Kampuni kubwa ya fanicha kama Ikea ya Sweden

Kikwako unaona umefanikiwa sana,rightfully so,ila kuna unknown uliyo-miss kwa kutokwenda shule,I'm sure ungekua bora zaidi na ungetilia ufanisi wa productivity sababu ushaerevuka!

Unaona kama upo sawa sana ila kuna vitu humo humo kwenye fani yako sio mwerevu inavyotakiwa!

Tuache hii future missed success tunayojifanya umei-miss kwa kutokua mwerevu,ila kutokana na insha yako inaonesha unatatizo la linakuandama la kua na chuki ya waliokupita shuleni,kuna vitu hujavi-let go maana upo humu unawaponda walioenda shule..

Kuna chuki unayo kwasababu uliipenda elimu sana ila uliikosa hivyo umejenga chuki na competition na walioenda shule....hii ni back drop ya upumbavu wako wa poor judgement back then!

Tunarudi mle mle na matatizo ya kisaikolojia aliyo nayo Mbunge Musukuma..alikosa elimu basi watu waliosoma anawaona adui...
Na hyo ndio dhana iliyopo kwa vijana wengi wa Tz na hata wazazi wengi yn hili tatizo la ajira kwa ss imekuwa ndiyo excuse ya watu kuchukia shule imefika kipindi msomi anaonekana ni adui wa maendeleo nchini wakati sio kweli.

Hyo kujiajiri imekuwa ss ndo wimbo asbh mchn jioni wkt ilipaswa watu wahimizwe waende shule washauriwe wasomee nn au kulingana na upendeleo wake asome nn zen suala la kujiajiri lifuate cz pesa ipo tu hata kama hujaenda shule but tunajaribu kuchanganya ajira na shule kitu ambacho c sawa na tunakwenda kutengeneza taifa la matahira wengi mtaani.

Watoto waachwe waende shule wapate kujitambua hizi changamoto za ajira zitajitatua automatically.
 
Back
Top Bottom