inakuwaje baadhi ya wanawake hawapendi kutaja umri wao( kwa wanaowahitaji kuwa karibu nao). kadhalika na wanaume hawapendi kuulizwa kipato chao(hasa kwa wandani wao)
hata usipotaja umri, sura yako itakusuta tu kuwa ni mzee. Weka wazi unaogopa nini????
Ukificha kipato ujue ana nyumba ndogo huyo sasa hataki mwenza ajue anapokea mapesa mangapi
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!