conditionally siyo kila ukijisikia kuipekenyua simu ushike... aisee ukiona unahamu ya kupekenyua simu embu njoo upekenyue papuchi aiseee
nadahani nikizinduka yeye atakuwa mauti uti ... simu inamengi kama moyo wake sasa usipende sana kujua
Kwema humu.
Hivi kwanini ukimfatilia mpenzi wako nyendo zake wanakimbilia neno kwanini huniamini hasa hawa akina dada au kumfatilia mpenzi wako vibaya tena wengine hufikia hatua ya kusema ukimchunguza sana bata huwezi kumla.
Sasa hii maana yake nini au wapo sahihi wakisema hivyo.
tena atapelekwa icu kabisaaa, nami takuwa sina hiyana nitamuuguza tu
tena kwaa mahaba moto moto loh
magode, wanachoongea miss chagga na atoto ndicho kinachofanyika na wengi katika jamii yetu, usishangae sana....! Hiyo ni ishara tosha kuwa % kubwa ya watz hawana uaminifu si katika mahusiano tu bali katika nyanja nyingi za maisha.Mkuu Eli79 nilikuwa nimeamua kufuatilia huu uzi kimya kimya ili nisome tu na sikupenda kuchangia. Comment zako hasa ndo zimenifanya nichangie! Kuna watu ukisoma mawazo yao unashangaa na wakati mwingine huamini wanachosema. Mtu ambae anavua nguo mbele yako, unamshika kila sehemu ya mwili,huna wasiwasi kwamba anaweza kukunyonga ukiwa umelala lkn eti simu inaonekana Muhimu kuliko yote hayo!!! Eti simu ashike yake na me nishike yangu! Hivi mnatania au mko serious!? Hasa mkuu atoto & miss chagga siwaelewi kwakweli. Hivi simu yangu km haina charge siwezi kutumia simu yako!?
conditionally siyo kila ukijisikia kuipekenyua simu ushike... aisee ukiona unahamu ya kupekenyua simu embu njoo upekenyue papuchi aiseee
Km hiki nnachokisikia kwa miss chagga & atoto basi nyumba zinaficha mengi! Lkn wanajaribu kuonyesha jinsi ambavyo kwao uaminifu ni msamiati mgumu! Lkn kwa nini ujitese namna hiyo!? Maana hayo ni mateso,huwezi kuacha simu hata km unaenda kuoga nk,ukiiacha unaweka silent na password,hivi hamuoni km hii nayo ni aina kichaa!?magode, wanachoongea miss chagga na atoto ndicho kinachofanyika na wengi katika jamii yetu, usishangae sana....! Hiyo ni ishara tosha kuwa % kubwa ya watz hawana uaminifu si katika mahusiano tu bali katika nyanja nyingi za maisha.
Mtu akiona simu ni kila kitu kwake na isishikwe na yoyote kisa ni "mobile", hata mumewe...then kwangu he/she leaves a lot to be desired..!
Mfano hai EscrowTZ sekta zote uaminifu zero nani anakataa??????
magode, wanachoongea miss chagga na atoto ndicho kinachofanyika na wengi katika jamii yetu, usishangae sana....! Hiyo ni ishara tosha kuwa % kubwa ya watz hawana uaminifu si katika mahusiano tu bali katika nyanja nyingi za maisha.
Mtu akiona simu ni kila kitu kwake na isishikwe na yoyote kisa ni "mobile", hata mumewe...then kwangu he/she leaves a lot to be desired..!
Km hiki nnachokisikia kwa miss chagga & atoto basi nyumba zinaficha mengi! Lkn wanajaribu kuonyesha jinsi ambavyo kwao uaminifu ni msamiati mgumu! Lkn kwa nini ujitese namna hiyo!? Maana hayo ni mateso,huwezi kuacha simu hata km unaenda kuoga nk,ukiiacha unaweka silent na password,hivi hamuoni km hii nayo ni aina kichaa!?
!
!
mkuu ni kweli kabisa, na najijua kuwa sio mwaminifu, niliwahi kuwa ila sijawa mwaminifu kwa muda mrefu sana mpaka nimesahau lini nilikuwa. Nasikitika sana lakini ndio basi tena, nitafanyaje sa ndio nshakuwa.
Basi tena.
anashika simu yangu akitafuta nini huko????
Naomba jibu kama hutojali, je wewe ni mwaminifu katika mahusiano yako na mume/bf?
Nimekuuliza na wewe coz mna mentality moja..mweeee!!! hili swali si lilikuwa la miss chagga? sasa mbona waniuliza mimi tena?
Nimekuuliza na wewe coz mna mentality moja..
lakini unaonekana kuwa na kigugumizi, nimeshapata jibu la swali langu...
...bado tuna safari ndefu...!
atoto, kwani huna boyfriend kweli?..au tayari ushaanza...teeeeeh!sasa nakujibu nini wakati hayupo huyo wa kuwa mwaminifu kwake!!! hebu subiri kwanza maybe baaadaeeeee ndio uniulize nitakuwa na majibu
nisamehe mamito...!mmmh!!! jamaa gani tena??? huu sasa ni.......... ole wako niachike utanioa nakwambia!
nisamehe mamito...!
lakini mwanzo ulisema huna mtu..wakumbuka??