Kwanini huniamini?

Kwanini huniamini?

Snipes

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
9,223
Reaction score
16,900
Kwema humu.

Hivi kwanini ukimfatilia mpenzi wako nyendo zake wanakimbilia neno kwanini huniamini hasa hawa akina dada au kumfatilia mpenzi wako vibaya tena wengine hufikia hatua ya kusema ukimchunguza sana bata huwezi kumla.

Sasa hii maana yake nini au wapo sahihi wakisema hivyo.
 
Watu wengi hatuko waaminifu asilimia 100. Kama hatuchiti kikweli kweli basi tunachiti kihisia.

Ndo sababu ya kuhoji 'kwa nini huniamini'.
 
Huna haja ya kumfuatilia mwenzio, kama wamfuatilia ni kweli humuamini....means kuna dalili zimeashiria hivyo.
 
kiukweli sipendi kufuatiliwa mini mpaka utakapo ona siaminiki.. tumekuzwa kwenye culture tofauti utamaduni tofauti ni hili linaleta utofauti sasa unakuta mtu na mpenzi wake labda mi napenda kutembea usiku wewe unakuja na sheria zako usiku usitembee lazima nisitake kufuatiliwa once nakwambia am home elewa ... ila kufutiliwa kun kera kuliko maelezo ,.. ni hayo tu
 
Kutaka kuujua ukweli kunauma,ni sawa na kubandua ganda la kitunguu.Kila ganda utakalobandua litakutoa machozi.
 
Tatizo linalotusumbua ambalo naweza Sema ni janga la JAMII ni UNAFIKI. Tunachosema hatumaanishi na tunavyoishi sivyo tulivyo. Kwa sababu hiyo ukimchunguza mwezi wako atajihami kwa kauli uliyosema. Ni jambo la kushangaza kama sio kusitaabisha kuona mtu anaachwa na mwenza wake kisa ni "Mtu mkweli".
 
Jisafishe uwe huru

!
!
kama kati ya vitu navitamani basi ni hicho cha kujisafisha, na niwe na mmoja tu. Lakini nimejenga tabia ya kupenda mno viporo, yani sana kiasi kwamba huwa nikihitaji napasha tu fasta kwani havihitaji mito mwingi najikuta naelea humohumo kwenye. Daaaah noma mno aisse.
Nadhani kuwa clean is impossible, labda sijui uweje aisee.
 
kiukweli sipendi kufuatiliwa mini mpaka utakapo ona siaminiki.. tumekuzwa kwenye culture tofauti utamaduni tofauti ni hili linaleta utofauti sasa unakuta mtu na mpenzi wake labda mi napenda kutembea usiku wewe unakuja na sheria zako usiku usitembee lazima nisitake kufuatiliwa once nakwambia am home elewa ... ila kufutiliwa kun kera kuliko maelezo ,.. ni hayo tu
...loading error..
 
Basically hatuaminiani na ni sawa kwa sababu hakuna binadamu atakayeweza kukiri kuwa ni msafi wa michepuko emotionally and actually. Kuna kukaaa mazingira hatarishi pia. Hatari nyingine huweza kukukuta ukiwa hata huelewi kama mazingira uliyokuwepo yalishakuhujumu toka saa nyingi.

"Mfano kidume kimekaa na rafiki yake claiming na kuapa kabisa I'm just minding my business while getting high na kinywaji. Soo inocent. Mchepuko wa rafiki yake unakuja ukiwa na shosti yake. Wanakaa wakinywa pale. Akilewa akishikwa kidogo tu na shosti wa mchepuko kashalainika!". Wakati in the begining mpenziwe alipompigia aliapa aaminike kuwa ni just drinking with friend.

KUfuatilia hukusaidia kujua mpenzio ni wa namna gani. Na si kwa maneno yake tu bali reading between lines. Kwa hiyo watu wote wanaokimbilia hayo maneno na kutangaza tuaminiane, they dont even know the meaning ya "Kuaminiana"

We Mungu wako mwenyewe hakuamini ndo uje uaminike kisa unapendwa?

Kuchunguzwa ni lazima. Trust is earned, its not a giveaway gift that goes with love.
 
Back
Top Bottom