Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
Kwema humu.
Hivi kwanini ukimfatilia mpenzi wako nyendo zake wanakimbilia neno kwanini huniamini hasa hawa akina dada au kumfatilia mpenzi wako vibaya tena wengine hufikia hatua ya kusema ukimchunguza sana bata huwezi kumla.
Sasa hii maana yake nini au wapo sahihi wakisema hivyo.
Hivi kwanini ukimfatilia mpenzi wako nyendo zake wanakimbilia neno kwanini huniamini hasa hawa akina dada au kumfatilia mpenzi wako vibaya tena wengine hufikia hatua ya kusema ukimchunguza sana bata huwezi kumla.
Sasa hii maana yake nini au wapo sahihi wakisema hivyo.