Miki123
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 289
- 505
Hongkong kuna maandamano ya kutisha kutokana na "muswada wenye utata" uliopitishwa na Serikali Kuu ya China.
Mapambno yamekuwa makubwa kati ya polisi na waandamanaji.
Katika harakati za kuivuruga china kabisa, Trump amesema atachukua hatua kali zaidi dhidi iwapo muswada huo utapitishwa. Ameachana na COVID19 amehamia Hongkong.
Hongkong ipo kama Macau, ni miji iliyo na haki ya kujitawala wenyewe lakini maandamano ya namna hii yamekuwa kawaida huko na sio Macau.
Mapambno yamekuwa makubwa kati ya polisi na waandamanaji.
Katika harakati za kuivuruga china kabisa, Trump amesema atachukua hatua kali zaidi dhidi iwapo muswada huo utapitishwa. Ameachana na COVID19 amehamia Hongkong.
Hongkong ipo kama Macau, ni miji iliyo na haki ya kujitawala wenyewe lakini maandamano ya namna hii yamekuwa kawaida huko na sio Macau.