Kwanini hivi lakini?

 

Bongo kazi zipo nyingi tu tatizo madogo either vigezo hauna vya kupata ajira, GPA ndogo au hamjitumi kutafuta...ukuiwa na lower second au pass unafikiri nani atakupa ajira..so mimi nakushauri kama unavigezo vilivyojitosheleza wewe endelea kutuma maombi na muombe mungu ipo siku utapata..usikate tamaa!!!
 

nani kakwambia lower second ni GPA ambayo haifai nadhani wewe haujaenda shule kama unaijua shule vizuri uwezi kuandika ujinga huo kuhusu GPA hata kidogo
 
Mimi niliomba msaada humu masikini ID yng wakadhani me ni ke,yani mtu anaku-pm haraka na ana uwezo wa kukufanyia mpango but mkiwasiliana tu akasikia ni me ndo anapotea mazima.
Mpaka ss nipo tu nimekaa Mungu anajua

Watz ndo tulivyo mkuu,matatizo ya wenzetu tunafanyia mtaji!komaa na usikate tamaa Mungu ni mwema na ana makusudi mema kwako
 

Mungu ni mwema mkuu,komaa usikate tamaa!
Una taaluma gani?
 

Acha uongo wewe,kuna watu wa GPA ya 2.2 wana kazi na wanalipwa mshahara $3000(zaidi ya sh 4.5mil) wakati huo huo mwenye GPA ya 4.2 tutorial assistance udsm analipwa mshahara usiozidi sh 1.5mil
 
Pole sana my dear. Usikate tamaa na usichoke kuomba kazi ipo siku one of you many applications will be your job. Usiache kumuomba Mungu pia kwa Imani yako.
Unajua nini? I believe Mungu hajakuwezesha kufika Chuo kwa bahati mbaya ana makusudi, trust me utapata kazi tena nzuri just dont give up and dont consider yourself a failure.Amini kua utapata kazi na utakuja kutupa ushuhuda hapa.
Mimi chuo nilitaka kuacha coz kuna kipindi supp ziliniandama hadi nkawa najiuliza nimefuata nini...haya nikajikazaa nikakomaa nikatoka( Mungu ni mwema) loooh kuja mtaani sasa mmmmh nilitamani nirudi chuo mambo yalikua magumu. Yani kuna wakati nilipata sijui ndo msongo wa mawazo uleee ila still kila nikifikiria kwamba nimesoma nikaamini Mungu anamakusudi na mimi na nikajipa moyo kupata kazi is a matter of time. Today here I am...I'm not where I want to be ila sipo kama mwanzo na kwa hili namshukuru Mungu sana.
So my dear fahim usiikate tamaa wala usione aibu kuomba connection kwa hata uliowatangulia huwezi jua riziki yako ilipo.
All the best, utapata tu kazi kaka.
 

We sijui wa wapi...watu wana pass wako office za maana na wenye first class tupo nai mtaani ...unaongea nn ww!?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…