Naona thread ya wahenga hii...
Ila mmenikumbusha taahira alintext pm akanambia.." Dada nimependa lips zako,upo wapi nije nizinyonye"
Sasa taahira kama hilo unalijibu ili iweje...kuna mataahira wengi sana PM..
I agree kwamba unaeza msoma mtu thru text na unavochat nae PM..
Cc
😀aby