Kwanini hawapendi??

Kwanini hawapendi??

kama yule komandoo wa gad gadneeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer
 
Mkuu Dragoon subiri nione jibu la shemeji yangu hapa, eti Khantwe shem una miaka mingapi??

Shemeji mimi sijawahi kuficha miaka yangu hata siku moja....ila siwezi kusema hadharani hapa maana kuna wengine wasio wastaarabu wakishajua umri wako ndo inakuwa fimbo ya kukuchapia....chochote utakachosema kinahusishwa na umri wako....mimi binafsi sijawahi kujifanya mdogo kuliko umri wangu hata siku moja
 
Last edited by a moderator:
Shemeji mimi sijawahi kuficha miaka yangu hata siku moja....ila siwezi kusema hadharani hapa maana kuna wengine wasio wastaarabu wakishajua umri wako ndo inakuwa fimbo ya kukuchapia....chochote utakachosema kinahusishwa na umri wako....mimi binafsi sijawahi kujifanya mdogo kuliko umri wangu hata siku moja

Nakuamini shem wangu
 
Hahahaha uzee mwisho wapi sijui lol...wanawake hawataki uzeee ukitaka tajirika sema unauza cream za anti wrinkle hahaha utapata wateja wengi lol
 
Back
Top Bottom