Kwanini hamuangalii Bongo Movie?!

Kwanini hamuangalii Bongo Movie?!

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,560
Baada ya kilio chanu cha muda mrefu nilichokisikia huku JF kuhusu watu kukataa kuangalia Bongo Movie nimeona niulize Swali hili:

Jamani watanzania wenzetu kwanini hamuangalii bongo movies?

January niliingia mtaa wa Kariakoo pale opposite na kanisa la Lutheran Kariakoo nikaona fremu kibao movie za kichina na bongo movies nikasogea nikaona nikusanye bongo movies zone za mapenzi kwasababu ndio field yangu.

Kuja kucheki mbona bongo movie nzuri jamani wasichana wanajitahidi mikiss kibao yani bongo kama Ulaya vile.

JB anajitahidi na Ray movie zao kwenye ma feelings wapo vizuri.

Akina kajala na Raima sijui Wolper sijui Sepenga yeleuwi watanzania kwanini hamuangalii bongo movie

Kusema ukweli movie za kichina ukishanitafsiria unanikata stimu kabisa nampa pongezi anayetafsiri movie za kichina kuwa kiswahili mimi nikiona tu natafsiriwa nalala au nahamia DSTV sasa sijawahi kuwaelewa wale wanaongia mtaani kulipia movie ya kutafsiri.

JAMANI KWANINI HAMUANGALII BONGO MOVIE HASA ZA MAPENZI?​

 
Niletee hapa hizo movie zako ulizoangalia nitoe kasoro za makusudi....wabongo hadi subtittle wanaandika upumbavu.
Tangu nione basi limesimama konda anatangaza kuchimba dawa .....na subtittle wameandika "to dig medicine" niliacha hapo hapo kuangalia bongo movie. They are not serious kabisa.
 
Movie iliyotafsiriwa naanza kwa kusoma subtitle alafu namsikiliza anachotafsiri jamaa.
Baada ya hapo natoa cd naweka mziki wa kunifanya nipunzike....
 
Mie na bongo movie namjua Kanumba Ray na Wema. Siwajui wengine. Story za movie zao sio nzuri. Wapiga picha hawana ubora Wale wafanya editing hawajui vizuri kazi zao. Ila Nigeria ndio hunitoi.
1. Wanajua ku act. Story zoa ni nzuri.
Angalia movie kama

Christian marriage
Moment of truths
Blind kingdom.
Ndio utaona tofauti kati ya bongo movie na wengine.
 
Mimi nilikua mpenzi wa kuangalia bongo movie mpaka DVD zao nilinunua sana . Lakini sasa nimeacha baada ya kuona movie moja bibie kaudhiwa na mpenzi wake akaamua kujiua . Alikwenda moja kwa moja dukani akanunua sumu ya panya , baada ya kutoa fedha na kupewa sumu hiyo , akasubiri chenchi !
 
Niletee hapa hizo movie zako ulizoangalia nitoe kasoro za makusudi....wabongo hadi subtittle wanaandika upumbavu.
Tangu nione basi limesimama konda anatangaza kuchimba dawa .....na subtittle wameandika "to dig medicine" niliacha hapo hapo kuangalia bongo movie. They are not serious kabisa.
Hahahahaha nimekaa nacheka tu ofisini mpaka boss kaniita

Haki jaman

Money Box Money Talk
 
Movie iliyotafsiriwa naanza kwa kusoma subtitle alafu namsikiliza anachotafsiri jamaa.
Baada ya hapo natoa cd naweka mziki wa kunifanya nipunzike....
Wabongo mna laana mmedharau bongo movie sasa hivi mnatafsiriwa kwa kulishwa tango pori mkome
 
Kwa anaye jielewa kununua na kuangalia hizo kitu.hakika unatakiwa kuombewa. Na nabii tito.mpuuzi wewe
Ahahahahhaha

Wabongo mna laana mmedharau bongo movie sasa hivi mnatafsiriwa kwa kulishwa tango pori mkome
 
Mie na bongo movie namjua Kanumba Ray na Wema. Siwajui wengine. Story za movie zao sio nzuri. Wapiga picha hawana ubora Wale wafanya editing hawajui vizuri kazi zao. Ila Nigeria ndio hunitoi.
1. Wanajua ku act. Story zoa ni nzuri.
Angalia movie kama

Christian marriage
Moment of truths
Blind kingdom.
Ndio utaona tofauti kati ya bongo movie na wengine.
Doh makubwaa
Wabongo mna laana mmedharau bongo movie sasa hivi mnatafsiriwa kwa kulishwa tango pori mkome
 
Mimi nilikua mpenzi wa kuangalia bongo movie mpaka DVD zao nilinunua sana . Lakini sasa nimeacha baada ya kuona movie moja bibie kaudhiwa na mpenzi wake akaamua kujiua . Alikwenda moja kwa moja dukani akanunua sumu ya panya , baada ya kutoa fedha na kupewa sumu hiyo , akasubiri chenchi !
Doh
Ahahahahhaha nimecheka sana mimi Leo nakufa kwa kicheko

Kwani chenji ya nini wakati unakufa sasa?!
 
Wabongo mna laana mmedharau bongo movie sasa hivi mnatafsiriwa kwa kulishwa tango pori mkome
Mimi sikubaliani na movie zilizotafsiriwa ndo maana nikishaona subtitle haiendani na kinachoongelewa naachana nayo.

Unaweza pata movie nzuri ila imetafsiriwa, ukatafuta ya kingereza tupu ukakosa.

Bongo movie zipo nzuri ila tatizo utunzi wake hauna ufundi. Unaweza jua itaishiaje
 
Mimi sikubaliani na movie zilizotafsiriwa ndo maana nikishaona subtitle haiendani na kinachoongelewa naachana nayo.

Unaweza pata movie nzuri ila imetafsiriwa, ukatafuta ya kingereza tupu ukakosa.

Bongo movie zipo nzuri ila tatizo utunzi wake hauna ufundi. Unaweza jua itaishiaje
Doh ni sheedah

Sasa unawasaidiaje watunzi na watengenezaji wa bongo movie?!

sab Ngosha jr Ngosha Mashine Barn drugtest
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom