Kwanini hakuna wanawake wenye vipara?

Kwanini hakuna wanawake wenye vipara?

Leepadone

Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
27
Reaction score
9
Jamboni wote wana JF. Nimekuwa nikiwaza sana bila kupata majawabu ndipo nimeona niombe kwenu msaada. Ni kwamba maishani mwangu sijawahi kuona mwanamke yeyote yule aliye na upara kichwani. Hii inamaanisha kwamba vipara ni kwa ajili ya wanaume tu? Siku za nyuma niliamini kuwa ndevu ni kwa wanaume tu lakini hivi sasa tunashuhudia wamama wengi tu wakiwa nazo!!!!
 
Jamboni wote wana JF. Nimekuwa nikiwaza sana bila kupata majawabu ndipo nimeona niombe kwenu msaada. Ni kwamba maishani mwangu sijawahi kuona mwanamke yeyote yule aliye na upara kichwani. Hii inamaanisha kwamba vipara ni kwa ajili ya wanaume tu? Siku za nyuma niliamini kuwa ndevu ni kwa wanaume tu lakini hivi sasa tunashuhudia wamama wengi tu wakiwa nazo!!!!
Fanya uchunguzi kwa makini, mbona kule umasaini wale wanawake hunyoa vipara kabisa
 
Hapa pana harufu ya kupata jibu. Mdau hebu chakata vizuri ama tudadavulie hapa uhusiano wa korodani na kipara tukae sawa.
Ndio mkuu reseach ilishafanyika huko kwa wenzetu na ukiwa na korodani ndogo uwezekano wa kuwa na kipara kikubwa ni mkubwa
 
Kuota upara kunachagizwa sana na hormone ya testosterone ambayo inatengenezwa kwenye kende za mwanaume.

Ukimuona mwanamke ana kipara ujue ana masalia ya hiyo homoni kutoka kwa mzazi wake wa kiume.
 
1 Wakorintho 11:15
"..lakini kwa mwanamke kuwa na nywele ni heshima kwake; nywele zake ndefu amepewa ili zimfunike.."
 
Ipo kemikali/hp.homoni ambayo huwa inaathiriwa kufikiri sana,au mawazo ya kupindukia,angalia wasomi km dr maprofesssar nk wana vipara,vipo vingine vy a umaskini! Hiv nivya kurithi!
 
Dah hata mm sijui inawezekana wakijua wanaanza kutumia wig na vilemba
 
Back
Top Bottom