Kwanini hakuna chanjo ya UKIMWI?

Kwanini hakuna chanjo ya UKIMWI?

UKIMWI NI MRADI WA USA KILA MWAKA WANAINGIZA MATRION YA PESA KWA WAHANGA
Habari wakubwa zangu wa kazi,

Nimekuwa nikijiuliza muda sasa,hivi kwanini hakuna chanjo ya virusi visababishavyo UKIMWI?

Wataalam wamekuwa wakitengeneza chanjo za magonjwa kadhaa ambapo watu huchomwa sindano ili kuzuia au kujikinga na maambukizi.

Kwamfano: Korona, Pepopunda, Kifadulo, Polio nk. Hizi ni chanjo tunazochanjwa tukiwa watoto kabisa kuzuia maambukizi.

Swali langu ni je,wataalam hao hao wameshindwa kutengeneza chanjo au miili yetu wanaifanyia biashara?

Mbona wanatutisha na kutuuzia makondom na dawa za ARVs au aina hii ya virus wanatengeneza wao ili watuuzie sisi Waafrika ili hata kama pesa ya kununua hatuna tukopeshwe wao waje kubeba dhahabu zetu na mali zingine tulizojaliwa?

Naomba niseme tu kuwa ni fikra zangu tu katika kuwaza naomba nisaidiwe kimawazo badala yakuniambia sijasoma wala situmii akili katika kuwaza🙏
 
Habari wakubwa zangu wa kazi,

Nimekuwa nikijiuliza muda sasa,hivi kwanini hakuna chanjo ya virusi visababishavyo UKIMWI?

Wataalam wamekuwa wakitengeneza chanjo za magonjwa kadhaa ambapo watu huchomwa sindano ili kuzuia au kujikinga na maambukizi.

Kwamfano: Korona, Pepopunda, Kifaduro, Polio nk. Hizi ni chanjo tunazochanjwa tukiwa watoto kabisa kuzuia maambukizi.

Swali langu ni je,wataalam hao hao wameshindwa kutengeneza chanjo au miili yetu wanaifanyia biashara?

Mbona wanatutisha na kutuuzia makondom na dawa za ARVs au aina hii ya virus wanatengeneza wao ili watuuzie sisi Waafrika ili hata kama pesa ya kununua hatuna tukopeshwe wao waje kubeba dhahabu zetu na mali zingine tulizojaliwa?

Naomba niseme tu kuwa ni fikra zangu tu katika kuwaza naomba nisaidiwe kimawazo badala yakuniambia sijasoma wala situmii akili katika kuwaza🙏
Usiache kuvaa condom ,yule mdudu anasifa Moja kuu

Hana UMBO maaLum(irregular shape) endelea kuvaa condom kwenye bypass zako au bakia njia KUU... hautibiki
 
Acha story za vijiweni mkuu
mfano mdogo hizo njugu unazoletewa kwa mfano wa bure sio bure unavyofikiria ww kunakitu wanapata yani ni nipe nikupe... Wambie viongozi wako wakuwekee mikataba yao hiyo wanaoita ya siri inayohusu a.rv... Mabeberu wanavuna palefu na wamewekeza karibia nchi zote hasa africa
 
U
mfano mdogo hizo njugu unazoletewa kwa mfano wa bure sio bure unavyofikiria ww kunakitu wanapata yani ni nipe nikupe... Wambie viongozi wako wakuwekee mikataba yao hiyo wanaoita ya siri inayohusu a.rv... Mabeberu wanavuna palefu na wamewekeza karibia nchi zote hasa africa
Umeitoa kijiwe gani mkuu
 
Hiyo chanjo leteni nyie, nani kawakataza?
 
Sababu hauwasumbui wazungu. Weusi wanaoumwa wamekalia ujinga ujinga. Zuma anasema tiba ni kuoga baada ya ngono, Mbeki anasema UKIMWI haupo. Na hao ndiyo viongozi wa nchi tunayoitegemea iwe mstari wa mbee kutafuta chanjo. Mbaya zaidi wameingia wahubiri na waganga katikati wanadai upo UKIMWI wa kurogwa!
 
Back
Top Bottom