Kwanini Guninita anatangatanga!

Kwanini Guninita anatangatanga!

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
5,139
Reaction score
1,149
John Guninita ameihama tena CCM na kurudi CHADEMA aliyojiunga nayo mara ya kwanza Kwenye miaka ya tisini baada ya kukumbwa na kashfa nzito ya ufisadi Kwenye mradi Wa mabasi ya wanafunzi akiwa mwenyekiti wa UVCCM.

Umoja wa vijana wa CCM cheo ambacho alikuja kukirithi Emanuel Mchimbi.

Wafuatiliaji wa mambo tunajiuliza Ni sababu zipi zilimfanya aitose CHADEMA na kurudi CCM na sasa kuamua kurudi CHADEMA?

Je nwanachama wa aina hii anastahili kuaminiwa na kupewa hata udiwani?
 
Tuwaulize wanachama wa CCM walioamua kumwamini hata kumkabidhi nafasi nyeti chamani kwani kumbuka nafasi zake ni za kuchaguliwa!
 
Natoa wito kwa safu ya ulinzi ya ukawa uwe makini sana na watu wnaotoka ccm. Wasikae karibu na viongozi wa ukawa.wengine nafsi zinasita kuwaamini. Njia yao na iwe giza na utelezi wale wote wasioitakia mema, amani na mafanikio UKAWA. Zab 109 na zab 35. Mwaka huu malaika wa Bwana na wapigane upande wa wapenda mageuzi wote. Amina
 
There is no prostitution in politics.
 
John Guninita ameihama tena CCM na kurudi CHADEMA aliyojiunga nayo mara ya kwanza Kwenye miaka ya tisini baada ya kukumbwa na kashfa nzito ya ufisadi Kwenye mradi Wa mabasi ya wanafunzi akiwa mwenyekiti wa UVCCM.

Umoja wa vijana wa CCM cheo ambacho alikuja kukirithi Emanuel Mchimbi.

Wafuatiliaji wa mambo tunajiuliza Ni sababu zipi zilimfanya aitose CHADEMA na kurudi CCM na sasa kuamua kurudi CHADEMA?

Je nwanachama wa aina hii anastahili kuaminiwa na kupewa hata udiwani?

Guninita mwaka 95 alikosana na Mkapa kutokana na msimamo wake wa kumuunga Mkono kikwete ...,wote kikwete na lowassa ni marafiki zake ...lakini kikwete kwa Sasa rafik zake hataki wawe karibu na lowassa ....Sasa watu wazima Hadi kuchaguliana wa kuongea naye ni aibu
 
Halafu utasikia anagombea ubunge jimbo la kigamboni kupitia chadema
 
Kasema katika mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya CCM JK kaja na majina yake kwenye MEMO hapo kuna chama? mtasoma no mwaka huu
 
Mzee wasira alikuwepo ccm akachomoka akajiunga na nccr hatimae karudi ccm na kuaminiwa.!!!
 
Kila mtu ana haki, mbona huulizi kuhusu wakina shibuda, arfi?
 
John Guninita ameihama tena CCM na kurudi CHADEMA aliyojiunga nayo mara ya kwanza Kwenye miaka ya tisini baada ya kukumbwa na kashfa nzito ya ufisadi Kwenye mradi Wa mabasi ya wanafunzi akiwa mwenyekiti wa UVCCM.

Umoja wa vijana wa CCM cheo ambacho alikuja kukirithi Emanuel Mchimbi.

Wafuatiliaji wa mambo tunajiuliza Ni sababu zipi zilimfanya aitose CHADEMA na kurudi CCM na sasa kuamua kurudi CHADEMA?

Je nwanachama wa aina hii anastahili kuaminiwa na kupewa hata udiwani?

Kaja sasa hivi kama mwanachama wa kawaida hivyo kwa sasa swali hilo labda umuulize mwenyewe akujibu. Ila kuna swali kwa CCM, Guninita aliondoka CCM (kwa kashfa au sio kashfa) na kwenda Chadema miaka ya tisini. Akiwa huko akaitukana sana CCM akiwa kama Katibu Mwenezi.
Baadae Chama cha mapinduzi kikaanza mpango wake wa wavuruge tuwatawale. Wakawavamia watu wa vyama na kwachukua wakiwemo Lamwai, Msabaha, Tambwe,Guninita, Nsanzugwaho nk nk na kuwapa vyeo ambapo Guninita akaukwaa Uenyekiti wa Mkoa wa Dar es Salaam ( kumbuka hiyo ni Dar sio Katavi au Simiyu) ambao ni mkoa muhimu sana kwa chama.
Kwa swali lako, hapa majibu anayepaswa kutoa ni CCM kuwa kwa nini unaachwa achwa? Jee ulaghai wenu una tabia ya ku expire?
 
Watu wasipopata maendeleo ccm, watayatafuta nje ya ccm! Mwl. JK. Nyerere
 
Back
Top Bottom