Kamanda D
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 134
- 86
Hawa jamaa wa DSTV ni kimeo dawa ni kuwakomesha tu watu wengi kuondoka kwa maramaoja then wajiulize kulikoni. Ni wizi mtupu, mimi mkuu nilishaachana nao dish lipo juu kama ulembo tu. na hao TCRA ni maboya tu hawawasaidii wa TZ sidhani hata kama wanafanya huo utafiti wa kulinganisha bei.