Kwanini gazeti la Mwananchi hilisomwi TBC?

Kwanini gazeti la Mwananchi hilisomwi TBC?

Tido Mhando alitoka TBC kwenda kuliongoza Mwananchi. ndio bifu ilipoanzia hapo. Mkurugenzi wa sasa wa TBC hawezi kufikia kiwango au upeo wa Tido.
ni sawa na clouds kupiga muziki wa lady jd. yaan hapo ndo ujue kuwa tz hamna professionalism kabisaaaaaa! na hii ni katika sekta zoote!
 
Naomba kuuliza kwa anayejua.
Kwa nini gazeti la Mwananchi halisomwi kwenye kipindi cha jambo leo
asubuhi?

hivi halijawahi kusomwa kabisa au ni baadhi ya siku?
 
Naomba kuuliza kwa anayejua. Kwa nini gazeti la Mwananchi halisomwi kwenye kipindi cha jambo leo asubuhi?
Ni kwa sababu wasomaji wa Mwananchi si wasikilizaji wa TBC!!!
Cheki hilo.
 
ni sawa na clouds kupiga muziki wa lady jd. yaan hapo ndo ujue kuwa tz hamna professionalism kabisaaaaaa! na hii ni katika sekta zoote!

True, hamna proffessionalism ni majungu, visa, visasi, uongo, wivu, ukuda na mambo ya kishetani yanayofanana na hayo kwa kwenda mbele.
 
ni sawa na clouds kupiga muziki wa lady jd. yaan hapo ndo ujue kuwa tz hamna professionalism kabisaaaaaa! na hii ni katika sekta zoote!

Watanzania hua tunavisasi vya kike mno. Mtu mbovu anaweza kuteuliwa kuongoza taasisi ya uma au binafsi kwa kumkomoa mtu mwenye uwezo kisa sio . yes sir man. Tony Blair aliweza kumwachia Gordon Browm madaraka lkn walikua na bifu. Tz inawezekana hiyo. hapa si mtu unaweza ukamuachia Mulugo ikulu kumkomoa Slaa
 
Watanzania hua tunavisasi vya kike mno. Mtu mbovu anaweza kuteuliwa kuongoza taasisi ya uma au binafsi kwa kumkomoa mtu mwenye uwezo kisa sio . yes sir man. Tony Blair aliweza kumwachia Gordon Browm madaraka lkn walikua na bifu. Tz inawezekana hiyo. hapa si mtu unaweza ukamuachia Mulugo ikulu kumkomoa Slaa

Hiyo mifano ya kukomoana na kufukuzana kisa sio yes sir nafikiri itakua inawahusu viongozi wa sacos yako chadema dhidi ya wale wasiokubaliana nao.
 
ni sawa na clouds kupiga muziki wa lady jd. yaan hapo ndo ujue kuwa tz hamna professionalism kabisaaaaaa! na hii ni katika sekta zoote!

We jinga kabisa unaongea bila data.
Lady jay dee mwenyewe ndo kawazuia clouds wasipige nyimbo zake sasa wewe ulitaka wao wakampigie magoti ili kuifurahisha nafsi yako kwa kupiga nyimbo zake???
 
JF kama taasisi nyingine za kitanzania imebeba kama kokoro. Wapo wenye upeo mkubwa,wapo wajinga pia wapo wapumbavu. SACCOS siyo chombo cha kuendeshwa kijinga na mjinga yeyote. Ni taasisi muhim mno ya kifedha inayomilikiwa na kuongozwa na wanachama wenyewe.Haipaswi kuifananisha na uhuni wowote. Vinginevyo taasisi isiyofanana na SACCOS ni ya kihuni
 
ni sawa na clouds kupiga muziki wa lady jd. yaan hapo ndo ujue kuwa tz hamna professionalism kabisaaaaaa! na hii ni katika sekta zoote!
hata hapa jf magazeti ya mwa.na.halisi na mawi.o sikajua kisa ni nini.
 
Back
Top Bottom