FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,079
- 40,733
- Thread starter
-
- #21
​Watanzania ni wagumu sana kuelewa hivi hii ni nini??mtoa mada kasema french -speaking watu mnageuza kuwa french colony !!!halafu mkifeli interviews mnasema wakenya wanapendelewa kwa vile wanaongea kiingereza vizuri..wakati hii mada ni ya kiswahili lakini tayari watu weshanoa duuh kazi kweli kweli.
French-speaking countries sio french-colonies wadau.. Burundi, Rwanda speak french despite being ruled by the Belgium
Kwa swali lako jibu ni moja tu hizo nchi nyingi hapo masheikh ni wengi ndio maana vita haziishi huko. Unajua hawa watu hata wakiwa wao pekee nchi nzima kama Somalia bado hawaelewanu
1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking
Take a look at the non-french speakers.. (After independence)
1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking
Tuongelee hizi za kiafrika. Kuna ukweli kiasi kikubwa kuwa effects za assimilation policy zinayatafuna mataifa haya ya Africa.Inategemea na karne... ukiweka kimahesabu zaidi utakuta zilizotawaliwa na Mwingereza ndizo zinaongoza kwa kupigana...au karibu zote zimeshapigana ikiwemo Marekani mbabe wa vita
Kwani Gambia kuna vita?Hivi GAMBIA wanazungumza lugha gani vile?
Lugha haina uhusiano wowote na migogoro, ila mkoloni anahusika.Huwezi zungumzia Lugha ya kimataifa bila kumzungumzia mkoloni. Ndo maana nchi nyingi zinaongea Lugha iliyoletwa na mkoloni husika.Mtoa mada alimaanisha FRENCH-SPEAKING au FRENCH COLONIES?
Mhhh! Anazungumzia nchi za kiafrikaUfaransa yenyewe nayo Ina vita?
Haiti nayo inachukuliwajwe!Mhhh! Anazungumzia nchi za kiafrika
Mi nnavyoona ni kuwa wanaopigana wanajitambua na kudai haki zao, sasa hao ambao hawapigani na kuzidi kukandamizwa inasaidia nn. .1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking
Take a look at the non-french speakers.. (After independence)
1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking
Overseas provincesAfu cjui kwa nini huwa wana ndoto ya kuishi french tu.kila raiya ana dream ya kwenda Ufaransa
kwel ila unajuwa nini mkuu hyo ni sawa na hapa kwa JIWE kila mtu aliopo kijijin anataka aje mjin DARESALAM sasa nawao france ndio mjini DARESALAM YaoAfu cjui kwa nini huwa wana ndoto ya kuishi french tu.kila raiya ana dream ya kwenda Ufaransa