Roho Mbaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 777
- 670
Hujui kuwa huyo ni Mzanzibar na ndio wanaongoza WatanganyikaFatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.
Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.
Je "ushangazi" umeisha?
Mpeni bei shangazi awape shavu CCM ila jitayarisheni kusasambuliwa nae tena hadharani.Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.
Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.
Je "ushangazi" umeisha?
Chadema siyo nyumba, watu wala majengo.
Chadema ni mawazo na hisia hai za watu. Kama unafikiria kumfunga wala kumuua Freeman mbowe utaua chadema basi wewe una akili ndogo kama magufuli
Chadema ni mawazo mbadala juu ya utawala wa kipumbavu chini ya ccm.
Umekaa ukawaza kwamba chadema ni fatuma karume?????
analala mlango wazo akisubiria uteuzi, zile kelele ilikuwa njaaFatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.
Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.
Je "ushangazi" umeisha?
Jikite kwenye hojakwa hoja
Kwa hoja ipi uliyoitoa hapo???Jikite kwenye hoja
shangazi wa kupenda mashoga !
asili alipotoka ndio mashoga wengi huko.mkianza kulipinga analeta sheria kibao
Kwani nani alikuambia Walitoka ccm? Kigogo na Mange wapo CCM Miaka yote au huwajuiKigogo na Mange Kimambi nao wamerudi CCM!
Kwani nani alikuambia Walitoka ccm? Kigogo na Mange wapo CCM Miaka yote au huwajui
Hii ni pumba.Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.
Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.
Je "ushangazi" umeisha?
Legacy toka lini ikawa marehemu
Hujui Kama mwendazake ndo alitesa watu? Aliua kila kitu na kupoteza watukwa kutumia watu wasiojulikanaHawa bado wanapambana na marehemu kuharibu legacy yake. Ni watu wa hovyo sana wako tayari wananchi wateseke ilimradi waharibu legacy ya JPM. Kwa sasa wanapambana kuhakikisha bwawa la Nyerere halikamiliki.
Ilimradi Didier mwenyewe hakuwahi kukanusha, sio mbaya tukiamini hivyo.Kwahiyo tumeamua kuwa Kigogo ni Didier Mlawa au ndio inabidi tujie hivyo sasa tutafanyaje.
Hii nchi ina vijana wapuuzi na wa hovyo sana.
CCM ni genge la wahuniChadema ni kichaka cha kuhifadhi na kustawisha mafisadi waliokosa fursa CCM.
🤣🤣🤣Kati ya Chadema na Jiwe nani marehemu???
Didier Abdala Malawa. Huyu ni jamaa wa mishe saana toka akiwa SUAOngeza hawa kwenye orodha yako.
1. Kigogo... Didier Abdallah Mlawa
2. January Makamba
3. Nape Nauye
4. Mange Kimambi..
Wote waliohisi kutengwa na JPM kichaka chao kilikuwa Chadema
analala mlango wazo akisubiria uteuzi, zile kelele ilikuwa njaa