Kwanini Fatma Karume siku hizi "kajitenga" na CHADEMA

Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.

Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.

Je "ushangazi" umeisha?
Hujui kuwa huyo ni Mzanzibar na ndio wanaongoza Watanganyika
 
Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.

Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.

Je "ushangazi" umeisha?
Mpeni bei shangazi awape shavu CCM ila jitayarisheni kusasambuliwa nae tena hadharani.

Kwani mbona wewe pia ulifika bei kwa CCM ukafungashiwa virago na CHADEMA.
Tulia tu huo umbea wako haujakunufaisha hadi sasa?
 
Jikite kwenye hoja
Chadema siyo nyumba, watu wala majengo.
Chadema ni mawazo na hisia hai za watu. Kama unafikiria kumfunga wala kumuua Freeman mbowe utaua chadema basi wewe una akili ndogo kama magufuli
Chadema ni mawazo mbadala juu ya utawala wa kipumbavu chini ya ccm.
Umekaa ukawaza kwamba chadema ni fatuma karume?????
 
Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.

Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.

Je "ushangazi" umeisha?
analala mlango wazo akisubiria uteuzi, zile kelele ilikuwa njaa
 
Jikite kwenye hojakwa hoja

Jikite kwenye hoja
Kwa hoja ipi uliyoitoa hapo???
Nimesema chama siyo mtu au majengo! Ni itikadi waliopo chadema hawajamfuata mbowe wala mnyika. Kama mlivyodanganyana kwamba ukiwanunua wabunge na kuwapa uwazir umeua chadema. Waliopo pale wamefuata itikadi na mawazo mbadala dhidi ya ccm iliyoshindwa kuwapa wananchi umeme wala maji miaka 60 baada ya uhuru.
 
CCM wameona warudi tena kwenye hoja ya ushoga, walianza na Lissu sasa wamehamia kwa Shangazi kazi kweli kweli, mtu ukibanwa sawa sawa na njaa huchagui mboga.
 
kwisha habar yake, huyo msapoti mashoga
Screenshot_20211130-205229.jpg
 
Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.

Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.

Je "ushangazi" umeisha?
Hii ni pumba.
Trivialities.
 
Hawa bado wanapambana na marehemu kuharibu legacy yake. Ni watu wa hovyo sana wako tayari wananchi wateseke ilimradi waharibu legacy ya JPM. Kwa sasa wanapambana kuhakikisha bwawa la Nyerere halikamiliki.
Hujui Kama mwendazake ndo alitesa watu? Aliua kila kitu na kupoteza watukwa kutumia watu wasiojulikana
 
Kwahiyo tumeamua kuwa Kigogo ni Didier Mlawa au ndio inabidi tujie hivyo sasa tutafanyaje.

Hii nchi ina vijana wapuuzi na wa hovyo sana.
Ilimradi Didier mwenyewe hakuwahi kukanusha, sio mbaya tukiamini hivyo.

Hakuna nchi yenye vijana smart pekee, dunia mzima iko hivyo.
 
Ongeza hawa kwenye orodha yako.
1. Kigogo... Didier Abdallah Mlawa
2. January Makamba
3. Nape Nauye
4. Mange Kimambi..

Wote waliohisi kutengwa na JPM kichaka chao kilikuwa Chadema
Didier Abdala Malawa. Huyu ni jamaa wa mishe saana toka akiwa SUA
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom