Roho Mbaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 777
- 670
Hujui kuwa huyo ni Mzanzibar na ndio wanaongoza WatanganyikaFatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.
Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.
Je "ushangazi" umeisha?