Kwanini Dr. Slaa hakosoi uchaguzi wa Zanzbar kama alivyofanya kwa Lowassa?

mpk

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
3,115
3,862
Slaa alikuwa mstari wa mbele kukosoa chama chake kumkaribisha Lowassa kugombea kupitia Ukawa. Alifikia hatua ya kuomba vyama vidogo kumpa jukwaa ili awambie watanzania madhara ya chama chake cha zama kumpa nafasi mkongwe huyo wa siasa za nchi hii.

Siku moja akihojiwa na Star Tv aliulizwa kwa nini anaendelea kujihusisha na siasa wakati alisema amestaafu siasa? Alijibu kwamba Tanzania ni nchi yake na pindi akiona jambo aliendi vizuri hatakaa kimya bali atatoka hadharani na kukosoa kama haki yake ya kimsingi ya kutoa maoni.

Sasa lazima tumuulize, mbona yuko kimya? Au Zanzibar mambo yalienda sawa? Au aliogopa kuwakasilisha wale tunaoambiwa wanamfadhiri?
 
IMG-20160322-WA0002.jpg
 
Ivii kama slaa anapendaa HAKI NA ANAPENDA KUKOSOA AKOSOE HICHI KILICHOTEKEA zenj...yaani prof lipumba Dr slaa ule mpira Wa lowasa walijua watautuliza kifuani ila BAHATI MBAYA mpira ule....!! Hao wazee ULIWAPIGA USONII au mdomonii kamwee HAWAWEZI na HATAWEZAA KUWAMBIA WATANZANIA CHOCHOTE KWA MAPAMBANOOO....!!
 
Slaa alikuwa mstari wa mbele kukosoa chama chake kumkaribisha Lowassa kugombea kupitia Ukawa. Alifikia hatua ya kuomba vyama vidogo kumpa jukwaa ili awambie watanzania madhara ya chama chake cha zama kumpa nafasi mkongwe huyo wa siasa za nchi hii.

Siku moja akihojiwa na Star Tv aliulizwa kwa nini anaendelea kujihusisha na siasa wakati alisema amestaafu siasa? Alijibu kwamba Tanzania ni nchi yake na pindi akiona jambo aliendi vizuri hatakaa kimya bali atatoka hadharani na kukosoa kama haki yake ya kimsingi ya kutoa maoni.

Sasa lazima tumuulize, mbona yuko kimya? Au Zanzibar mambo yalienda sawa? Au aliogopa kuwakasilisha wale tunaoambiwa wanamfadhiri?
Kwa sababu Dkt Slaa amejiudhuru siasa
 
Title: HAHOSeI kumbe ina maana HAKOSOI. Ningependa kuona mleta mada anakihariri kichwa cha habari yake ili kuweka sawa kumbukumbu!.....
 
Dr.Slaa anakula bata tu na girlfriend wake anavaa mavazi ya design stuff.

Hahahahaha!! Wala vumbi wa Ufipa macho yanawatoka tu.
Tunataka kumuona Slaa ktk sura ya kazi siyo kura bata. Tulikuwa tunamuona mtu serious tunashangaa kumuona kwenye sura ile ya mizaha
 
Anakula raha mamtoni na kimwana wake.

Kwahiyo hawezi hata kukumbuka kama kulikuwa na uchaguzi Zanzibar.
 
Dr.Slaa na Lipumba wametuhakikishia kuwa hawakuwa wapinzani bali walikuwa wapiga dili.Hawawezi kiizungumzia Zanzibar.
 
Dr.Slaa na Lipumba wametuhakikishia kuwa hawakuwa wapinzani bali walikuwa wapiga dili.Hawawezi kiizungumzia Zanzibar.
Kweli mkuu walikuwa wapiga deal kama alivyo mpiga deal number moja MR zerooo OO sory Mbowe,hadi kufikia hatua ya kukiuza chama kwa fisadi number moja Tanzania Edward lowassa by the way Mtumishi wa Mungu katika siasa mmchungaji Msigwa alishawahi kusema wanaomuunga mkono wote Lowassa wakapimwe akili, kwa hiyo slaa alipokea ushauri kutoka kwa msigwa ndiyo maana akakataa kumuunga mkono ufisadi.
 
Kweli mkuu walikuwa wapiga deal kama alivyo mpiga deal number moja MR zerooo OO sory Mbowe,hadi kufikia hatua ya kukiuza chama kwa fisadi number moja Tanzania Edward lowassa by the way Mtumishi wa Mungu katika siasa mmchungaji Msigwa alishawahi kusema wanaomuunga mkono wote Lowassa wakapimwe akili, kwa hiyo slaa alipokea ushauri kutoka kwa msigwa ndiyo maana akakataa kumuunga mkono ufisadi.
Mpiga dili namba moja nchi hii ni msoga akifuatiwa na dogo lake alilookoa kwa kuuza gesi yetu
 
Slaa alikuwa mstari wa mbele kukosoa chama chake kumkaribisha Lowassa kugombea kupitia Ukawa. Alifikia hatua ya kuomba vyama vidogo kumpa jukwaa ili awambie watanzania madhara ya chama chake cha zama kumpa nafasi mkongwe huyo wa siasa za nchi hii.

Siku moja akihojiwa na Star Tv aliulizwa kwa nini anaendelea kujihusisha na siasa wakati alisema amestaafu siasa? Alijibu kwamba Tanzania ni nchi yake na pindi akiona jambo aliendi vizuri hatakaa kimya bali atatoka hadharani na kukosoa kama haki yake ya kimsingi ya kutoa maoni.

Sasa lazima tumuulize, mbona yuko kimya? Au Zanzibar mambo yalienda sawa? Au aliogopa kuwakasilisha wale tunaoambiwa wanamfadhiri?
Mnafiki hiyo
 
Back
Top Bottom