Kwanini Differential equation?

Kwanini Differential equation?

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,125
Reaction score
6,141
Katika moja ya hesabu ambazo zinatumika sana kwenye physics basi differential equation ni moja wapo na zimesashatumika maeneo yafuatayo;-
  1. Newton alitumia differential equation
  2. Schrodinger alitumia differential equation
  3. Albert Einstein naye alitumia differential equation

Hata sasa hivi tunaweza tumia differential equation kwenye mambo yafuatayo;-
  1. Kuderive formula ya Kupredict protein mutation
  2. Kuderive methods/formula ya kutengeneza Artificial ozone layer
  3. Kuderive methods/formula ya kuvuna waves kutoka kwenye mwezi kwa ajili ya Bluetooth
  4. Kuderive method ya kutengeneza mota yenye speed zaidi ya mwanga
  5. Kuderive methods ya kuignite in-active star kama Jupiter ili ziweze kuchoma oxygen
  6. Kuderive method ya kutengeneza sayari from scratch
  7. Kuderive method kuondoa half life kwenye nuclear waste

NIKIWA RAIS WA TANZANIA KUTAKUWA NA UWEKEZAJI MKUBWA SANA KWENYE DIFFERENCE EQUATION

 
Katika moja ya hesabu ambazo zinatumika sana kwenye physics basi differential equation ni moja wapo
  1. Newton alitumia differential equation
  2. Schrodinger alitumia differential equation
  3. Albert Einstein naye alitumia differential equation

Hata sasa hivi tunaweza tumia differential equation kwenye mambo yafuatayo;-
  1. Kuderive formula ya Kupredict protein mutation
  2. Kuderive methods/formula ya kutengeneza Artificial ozone layer
  3. Kuderive methods/formula ya kuvuna waves kutoka kwenye mwezi kwa ajili ya Bluetooth
  4. Kuderive method ya kutengeneza mota yenye speed zaidi ya mwanga
  5. Kuderive methods ya kuignite in-active star kama Jupiter ili ziweze kuchoma oxygen
  6. Kuderive method ya kutengeneza sayari from scratch
  7. Kuderive method kuondoa half life kwenye nuclear waste

NIKIWA RAIS WA TANZANIA KUTAKUWA NA UWEKEZAJI MKUBWA SANA KWENYE DIFFERENCE EQUATION
dy/dx ya kutengeneza sayari from scratch mkuu hii kwa taifa hili utapoteza hela za wananchi 😁
 
"Makes me wonder what else I don't know"
 
Nakuelewa sana mkuu.Hesabu za Integration na differentiation zikitumika kwa umakini na weledi mwaka huu CCM inatoka madarakani na kuwa chama cha upinzani.
 
Ina maana tunaweza kutengeneza huku duniani kama transmitter ikatuma waves kwenye moon halafu yale mawimbi yaka bounce na kurudi duniani si ndivyo?
Ndio
Inatakiwa uwasiliane na mtu aliyeko Mercury au Pluto instantly njia moja wapo ni kutumia wave zinazozalishwa na Natural satellite kama mwezi, titan, Europe kupitia Bluetooth watu waweze kuwasiliana
 
Mambo haya mtu kama Poor Brain hawezi kuelewa
D4FD96F5-C534-425E-B834-1B8A25A07A98.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom