Kwanini Differential equation?

Kwanini Differential equation?

Katika moja ya hesabu ambazo zinatumika sana kwenye physics basi differential equation ni moja wapo na zimesashatumika maeneo yafuatayo;-
  1. Newton alitumia differential equation
  2. Schrodinger alitumia differential equation
  3. Albert Einstein naye alitumia differential equation
 
Katika moja ya hesabu ambazo zinatumika sana kwenye physics basi differential equation ni moja wapo na zimesashatumika maeneo yafuatayo;-
  1. Newton alitumia differential equation
  2. Schrodinger alitumia differential equation
  3. Albert Einstein naye alitumia differential equation

Hata sasa hivi tunaweza tumia differential equation kwenye mambo yafuatayo;-
  1. Kuderive formula ya Kupredict protein mutation
  2. Kuderive methods/formula ya kutengeneza Artificial ozone layer
  3. Kuderive methods/formula ya kuvuna waves kutoka kwenye mwezi kwa ajili ya Bluetooth
  4. Kuderive method ya kutengeneza mota yenye speed zaidi ya mwanga
  5. Kuderive methods ya kuignite in-active star kama Jupiter ili ziweze kuchoma oxygen
  6. Kuderive method ya kutengeneza sayari from scratch
  7. Kuderive method kuondoa half life kwenye nuclear waste

NIKIWA RAIS WA TANZANIA KUTAKUWA NA UWEKEZAJI MKUBWA SANA KWENYE DIFFERENCE EQUATION

Haya mambo huko kwao yanaishia kuendeshea bodaboda kwa tairi moja tena speed kali sana huku wamelala kwenye tank la mafuta
 
BAM kuna differentiatiation na integration ila hakuna differential equation kaka😂
Kwahyo ww unataka kusema yale madude sio ma equation...
Nyie mbwa mbona mnataka kufanya maisha magumu inamana yale madude yote bado hatujafikia hata robo ya hyo topic au 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom