KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 3,399
- 4,343
+ "chiang"Tupo sana
Uchumi kwa asilimia kubwa unatumia hesabu za calculas
wachumi wenzangu watanielewa sana
mambo ya Gujarat hayo
+ "chiang"Tupo sana
Uchumi kwa asilimia kubwa unatumia hesabu za calculas
wachumi wenzangu watanielewa sana
mambo ya Gujarat hayo
Ili mradi tupo tanzania ni swala la muda tu, kila mtu atachanganyikiwa!0
Nadhani 0 kihesabu ni magic number, wakati mwingine inamaanisha hakuna kitu wakati mwingine haimaanishi hivyo,mfano ni 0 hapo ni hakuna kitu,laki 10 hapo sifuri haimaanishi hakuna kitu
Sielewi ikiwa sijui 'kuzidisha' maana yake nini au 0 maana yake nini
Lakini tukirudi kwenye uhalisia, sielewi kwa nini watu 1000 ukizidisha mara sifuri,hao watu elfu moja hupotea wote
Nimekuchanyanga kama zege!?Ili mradi tupo tanzania ni swala la muda tu, kila mtu atachanganyikiwa!
Hapana hzo dalili za kuwa na akiliNimekuchanyanga kama zege!?
Differential ni ngumu sana kuliko differentiation na integration
Differential equation ni tofauti na calculus
Ni kwa sababu hakuna misingi yake ila ni wajibu wetu sisi kuweka misingi ili kuondoa hii kasumbaSema sayansi na bongo ni Kama kupiteza muda